Agenda hapa ni Flip Flop ya Mbowe
We need change..NOT IN POLITICS.
Ukawa lazima waisome ndamba na waambie ukweli wao.
mbowe anapenda sana wakamate madaraka ili mambo yamnyokee,atafanya lolote ndoto yake itimie
Ndugu Elungata ,Mwanasiasa yoyote duniani anapenda Madaraka ,ukiona mwanasiasa hataki madaraka huyo sio Mwanasiasa Kamili,sasa..
So what is your agenda?
Namsubiri akin I by atanisaidia na mimi pia
flip
![]()
flop
![]()
Tusahau yaliyopita na tugange yajayo....
Kwisha Habari yako.Utata uko wapi hapo chin. Au ni ukada wako wa ccm ndio utata. Mbona akina nape waliwahi kusema waziri magufuli ni mzigo na anasafiri mno nje lakini leo hii wamemteua yeye kuwa mgombea wao.
Hii inathibitisha kutokuaminika kwa viongozi wa CHADEMA, kwamba wana ajenda ya siri, na kwamba wakipata madaraka watauza nchi.
Dah !!!! hii ya kuuza nchi mkuu kweli?
Hii inathibitisha kutokuaminika kwa viongozi wa CHADEMA, kwamba wana ajenda ya siri, na kwamba wakipata madaraka watauza nchi.
Ikulu si ya wagonjwa.
Ikulu sio ya mashoga.
Nchi iuzwe mara mbili?
Ndugu Elungata ,Mwanasiasa yoyote duniani anapenda Madaraka ,ukiona mwanasiasa hataki madaraka huyo sio Mwanasiasa Kamili,sasa..