secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,839
- 8,647
Swali bovu sana
Mfano wako hauendani mkuu...Somo la comprehension lirudi shuleni wazee...
Sentensi haina shida mzee baba.... ni sawa na kusema 70% ya wanaJF wanachat PM kila siku.
80% ya wanaochati PM kuhusu mapenzi wanakutana na kuonana..
Waoooo, hata mie nilielewa hivo mwazo, na kwa mujibu wa mtililiko wa kiswahili chake nilielewa hivo;Mie kilaza naona nipo tofauti na naomba nielimishwe.
Nilitegemea percent ndogo ndogo zifanye total ya mia ukiachia ile 70 percent ambayo tuna asume km 100 percent ya maji yote.
Hakuna swali bovu wewe, huwa kuna uelewa mbovu siyo swali bovu!Swali bovu sana


Hodi hapa kwa leo, make nina siku mbili tatu...bila kuingia humu;
Salaam kwenu.
Nimekuja hapa naomba ufafanuzi kutoka kwenu wajuvi wa hesabu.
Nimekutana na ubishi mahala mtu aliyejitanabaisha kama Dk.... akibishana na mwenzake kujusu sentesi ambayo mwenzake alisema haina mashiko, je hii sentesi ya Dokta iko sawa kwa mujibu wa mgawanyo wa asilimia?
"Maji huchukua karibu 70% ya mwili wa binadamu, ambapo seli za ubongo zina karibu 85% ya maji, misuli huwa na 75% ya maji, mifupa huwa na 25% ya maji na damu huwa na karibu na 82% ya maji"
Baada ya wadau kutoa ufafanuzi hivo hivo ulivosema niliwaelewa, ila kiswahili cha ye Dr. Sikukielewa kabisa mkuu!Ngoja niendelee kukuchanganya kama sio kuku-confuse kabisa, hiyo 85% ya maji kwenye seli za ubongo inaweza kua ni asilimia 1 tu ya maji yote mwilini. Nahisi nimeeleweka vema.
Katika hizo 70% za maji yote mwilini mkojo unachukua ngapi hapo.





Kama nimekuelewa vizuri basi ni hivi 70% ya mwili wa binadamu ni majiHodi hapa kwa leo, make nina siku mbili tatu...bila kuingia humu;
Salaam kwenu.
Nimekuja hapa naomba ufafanuzi kutoka kwenu wajuvi wa hesabu.
Nimekutana na ubishi mahala mtu aliyejitanabaisha kama Dk.... akibishana na mwenzake kujusu sentesi ambayo mwenzake alisema haina mashiko, je hii sentesi ya Dokta iko sawa kwa mujibu wa mgawanyo wa asilimia?
"Maji huchukua karibu 70% ya mwili wa binadamu, ambapo seli za ubongo zina karibu 85% ya maji, misuli huwa na 75% ya maji, mifupa huwa na 25% ya maji na damu huwa na karibu na 82% ya maji"
Yupo sahihi anaongelea kitu kizima mwili wa binadamu! Halafu anaongelea sub set za mwili na asilimia zake za damu! Yupo sahihi kimahesabu. Siyo vilaza kama ambao wanasema asilimia 101
Yess, collect!Kama nimekuelewa vizuri basi ni hivi 70% ya mwili wa binadamu ni maji
Kwa maana ya kwamba katika mwili wote wa binadamu (organs) zote mifupa na kila kitu 70/100 ni maji ya vitu vyote hivyo (70/100 ya mwili wa binadamu unaundwa na maji )
Sell za ubongo Zina 85% ya maji
Maana yake ni hii tukichukua selli za ubongo (kuzitizama zenyewe ) zimeundwa kwa alimia 85 kuwa ni maji au 85/100 ya selli Hizo no maji
Mifupa 25% ni maji maana yake ni hii
Tukichukua mifupa yote ya binadamu tukiangalia kwa jinzi ilivyoundwa asilimia 25 ni maji au pia anaweza kusema 25/100 ya mifupa ni maji
Damu kwa 82% ni maji
Anamaanisha kwamba ukichukua damu ya binadamu 82 asilimia ya kinachounda damu ni maji Hizo asilimia zilizo baki ndo zinaunda vitu vingine Kama seli, rangi na Mambo mengine
We nae umekunywa pombe gani?MBOWE sijui kama
Hayuko sahihi.Hodi hapa kwa leo, make nina siku mbili tatu...bila kuingia humu;
Salaam kwenu.
Nimekuja hapa naomba ufafanuzi kutoka kwenu wajuvi wa hesabu.
Nimekutana na ubishi mahala mtu aliyejitanabaisha kama Dk.... akibishana na mwenzake kujusu sentesi ambayo mwenzake alisema haina mashiko, je hii sentesi ya Dokta iko sawa kwa mujibu wa mgawanyo wa asilimia?
"Maji huchukua karibu 70% ya mwili wa binadamu, ambapo seli za ubongo zina karibu 85% ya maji, misuli huwa na 75% ya maji, mifupa huwa na 25% ya maji na damu huwa na karibu na 82% ya maji"
Usiwe kilaza, ukiona asilimia inazidi 100 ujue base yako ilikuwa kanyabwoya. Nisawa na kusema wasichana nyumbani kwangu ni 7 wakati kwangu kuna watu 6. Asilimia inaweza kuwa probability ambapo 0 asilimia ni kuwa kitu hakitatokea na 100 asilimia ni kitu lazima kitokee. Mfano katika uchaguzi ujao kupata rais wa tanzania ni asilimia 100 (maana hata asipokuwa JPM atapatikana Tundu Lissu etc) Lakini ni kosa kusema katika uchaguzi ujao JPM ana asilimia 100 kuwa Rais. Kama ni hivyo hakuna haja ya kufanya uchaguzi. Lakini mimi katika uchaguzi kuwa rais nina asilimia 0 kwa vile sitagombea. Hapo 101 imetoka wapi? Kwenye kucalculate asilimia kuna numerator na denominator ambapo numerator lazima iwe subset ya denominator bwashee. Kesho tuongelee conditional probabilityHata 101% yupo sahihi. Ukiombwa na mtu mkopo wa sh 2m nawe ukampa 3m hapo umempa asilimia mia tatu-
300% ya alichoomba. Asili ni msingi ie base.
...kila kiungo kilichotajwa hapo kimepimwa kwa asilimia 100 ya maji yaliyomo kwenye kiungo hicho na sio kwa asilimia za maji yaliyomo kwenye mwili mzima! Simple...Ukijumlisha zile namba za asilimia zilizogawanywa, mbali na ile namba ya kwanza ya jumla namba inakuwa kubwa zaidi ya mia;
hapo neno asilimia halipotezi maana kwa kuwa badala ya mia imekuwa 100+?
Hata 101% yupo sahihi. Ukiombwa na mtu mkopo wa sh 2m nawe ukampa 3m hapo umempa asilimia mia tatu-
300% ya alichoomba. Asili ni msingi ie base.
Usiwe kilaza, ukiona asilimia inazidi 100 ujue base yako ilikuwa kanyabwoya. Nisawa na kusema wasichana nyumbani kwangu ni 7 wakati kwangu kuna watu 6. Asilimia inaweza kuwa probability ambapo 0 asilimia ni kuwa kitu hakitatokea na 100 asilimia ni kitu lazima kitokee. Mfano katika uchaguzi ujao kupata rais wa tanzania ni asilimia 100 (maana hata asipokuwa JPM atapatikana Tundu Lissu etc) Lakini ni kosa kusema katika uchaguzi ujao JPM ana asilimia 100 kuwa Rais. Kama ni hivyo hakuna haja ya kufanya uchaguzi. Lakini mimi katika uchaguzi kuwa rais nina asilimia 0 kwa vile sitagombea. Hapo 101 imetoka wapi? Kwenye kucalculate asilimia kuna numerator na denominator ambapo numerator lazima iwe subset ya denominator bwashee. Kesho tuongelee conditional probability