Utata wa neno asilimia

Maguge Maguge

JF-Expert Member
Sep 1, 2016
2,734
1,774
Hodi hapa kwa leo, make nina siku mbili tatu...bila kuingia humu;

Salaam kwenu.
Nimekuja hapa naomba ufafanuzi kutoka kwenu wajuvi wa hesabu.

Nimekutana na ubishi mahala mtu aliyejitanabaisha kama Dk.... akibishana na mwenzake kuhusu sentesi ambayo mwenzake alisema haina mashiko, je hii sentesi ya Dokta iko sawa kwa mujibu wa mgawanyo wa asilimia?

"Maji huchukua karibu 70% ya mwili wa binadamu, ambapo seli za ubongo zina karibu 85% ya maji, misuli huwa na 75% ya maji, mifupa huwa na 25% ya maji na damu huwa na karibu na 82% ya maji"
 
Yupo sahihi kabisa. Hizo asilimia za maji katika viungo tofauti visikutatize. Mfano asilimia kubwa ya seli za ubongo zipo katika mfumo wa majisafi, kadhalika hata damu huwa ina asilimia kubwa ya maji. Mifupa, ina asilimia ndogo sana ya maji. Hivyo utaona kuwa kwa wastani asilimia sabini (70%) ya mwili wa mwanadamu ni maji.
 
Ukijumlisha zile namba za asilimia zilizogawanywa, mbali na ile namba ya kwanza ya jumla namba inakuwa kubwa zaidi ya mia;

hapo neno asilimia halipotezi maana kwa kuwa badala ya mia imekuwa 100+?
 
Ukijumlisha zile namba za asilimia zilizogawanywa, mbali na ile namba ya kwanza ya jumla namba inakuwa kubqa zaidi ya mia;

hapo neno asilimia halipotezi maana kwa kuwa badala ya mia imekuwa 100+?
Hapo ndipo unapokosea, haikumaanisha kuwa 70% inatokana na huo mlolongo wa viungo mbalimbali na kiasi cha maji kilichomo ndani yake.
70% ni mwili kwa ujumla. Na hizo nyingine ni kwa kiungo husika.

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
 
Hodi hapa kwa leo, make nina siku mbili tatu...bila kuingia humu;

Salaam kwenu.
Nimekuja hapa naomba ufafanuzi kutoka kwenu wajuvi wa hesabu.

Nimekutana na ubishi mahala mtu aliyejitanabaisha kama Dk.... akibishana na mwenzake kujusu sentesi ambayo mwenzake alisema haina mashiko, je hii sentesi ya Dokta iko sawa kwa mujibu wa mgawanyo wa asilimia?

"Maji huchukua karibu 70% ya mwili wa binadamu, ambapo seli za ubongo zina karibu 85% ya maji, misuli huwa na 75% ya maji, mifupa huwa na 25% ya maji na damu huwa na karibu na 82% ya maji"
Yupo sahihi anaongelea kitu kizima mwili wa binadamu! Halafu anaongelea sub set za mwili na asilimia zake za damu! Yupo sahihi kimahesabu. Siyo vilaza kama ambao wanasema asilimia 101
 
Auz
Nashukuru sana, umenipa jibu rahisi kabisa lililojificha nyuma ya upeo wangu, ingawa mi naona kiswahili chake ndo kimenifelisha,
Kwamba kila kiungo kimepewa mia pia kisha zikagawanywa kwa matilio zake, kisha kupata kiwango cha maji katika kiungo husika.
 
Yupo sahihi anaongelea kitu kizima mwili wa binadamu! Halafu anaongelea sub set za mwili na asilimia zake za damu! Yupo sahihi kimahesabu. Siyo vilaza kama ambao wanasema asilimia 101
Asante nimekuelewa vyema, ila nae kiswahili chake ndo kimenifanya nilete swali hili hapa.
 
Somo la comprehension lirudi shuleni wazee...


Sentensi haina shida mzee baba.... ni sawa na kusema 70% ya wanaJF wanachat PM kila siku.

80% ya wanaochati PM kuhusu mapenzi wanakutana na kuonana..
 
Hodi hapa kwa leo, make nina siku mbili tatu...bila kuingia humu;

Salaam kwenu.
Nimekuja hapa naomba ufafanuzi kutoka kwenu wajuvi wa hesabu.

Nimekutana na ubishi mahala mtu aliyejitanabaisha kama Dk.... akibishana na mwenzake kujusu sentesi ambayo mwenzake alisema haina mashiko, je hii sentesi ya Dokta iko sawa kwa mujibu wa mgawanyo wa asilimia?

"Maji huchukua karibu 70% ya mwili wa binadamu, ambapo seli za ubongo zina karibu 85% ya maji, misuli huwa na 75% ya maji, mifupa huwa na 25% ya maji na damu huwa na karibu na 82% ya maji"
Percentage means fraction of something times 100. So chochote chenye fraction you can have percentage.
Twende kazi Sasa kulingana na maelezo yako.
mwili wa binadamu una Mambo kibao, damu, mifupa, misuli, n.k vyote hivyo Ni fractions ya mwili wa binadamu so ukichukuwa hyo fraction ukatimes 100 unapata hiyo 70%
seli za ubongo nazo Zina Mambo mengi ikiwemo hyo fluids, nucleus na Malika kitu hayo majinukichukua sehem yake ndani ya deli za ubongo ukazidisha 100 unapata hiyo 85percent means 85% ya deli za ubongo Ni maji kinachobaki Ni makilakinga mengine
 
Somo la comprehension lirudi shuleni wazee...


Sentensi haina shida mzee baba.... ni sawa na kusema 70% ya wanaJF wanachat PM kila siku.

80% ya wanaochati PM kuhusu mapenzi wanakutana na kuonana..
Swala siyo somo lilrudiwe, ukisoma vizuri nilikuja hapa kutaka ufafanuzi, waliotoa ufafanuzi nimewaelewa na nawashukuru sana, wewe pia wacha nikushukuru, "asante kwa mchango wako" ila ukisema kunirudisha shule kwa ajiri ya hili nililolileta hapa tu, na we wewe utakuwa na shida. Nawashukuru wote nimeelewa, hata chalenji zimenifanya nielewe pia

Jamii forums idumu
CC - #MaxMello
 
Ukijumlisha zile namba za asilimia zilizogawanywa, mbali na ile namba ya kwanza ya jumla namba inakuwa kubqa zaidi ya mia;

hapo neno asilimia halipotezi maana kwa kuwa badala ya mia imekuwa 100+?
Dr. Yupo sahihi. hapo ni kwamba hizo 80% za kwenye ubongo, 25% za mifupa n.k nazo zipo kwenye 70% ya maji kwenye mwili. mfn. hiyo 80% za maji kwenye seli za ubongo huwenda ni 9% ya maji yote mwilini (ni mfano si halisia).
 
Ukijumlisha zile namba za asilimia zilizogawanywa, mbali na ile namba ya kwanza ya jumla namba inakuwa kubqa zaidi ya mia;

hapo neno asilimia halipotezi maana kwa kuwa badala ya mia imekuwa 100+?
Jumlisha then tafuta average utaelewa kinachomanishwa
 
Somo la comprehension lirudi shuleni wazee...


Sentensi haina shida mzee baba.... ni sawa na kusema 70% ya wanaJF wanachat PM kila siku.

80% ya wanaochati PM kuhusu mapenzi wanakutana na kuonana..
Na asilimia 95 ya wanaume wanaoonana na wanawake wanakula K bila Kuzigharimikia ingawa asilimia 10 wanaokula k wanapata Gono
 
Ukijumlisha zile namba za asilimia zilizogawanywa, mbali na ile namba ya kwanza ya jumla namba inakuwa kubqa zaidi ya mia;

hapo neno asilimia halipotezi maana kwa kuwa badala ya mia imekuwa 100+?
Maji yalitajwa kwenye separate areas, hutakiwi kujumlisha
 
Mie kilaza naona nipo tofauti na naomba nielimishwe.
Nilitegemea percent ndogo ndogo zifanye total ya mia ukiachia ile 70 percent ambayo tuna asume km 100 percent ya maji yote.
 
Back
Top Bottom