Naomba mnisaidie kwa wanaojua, uchukua muda gani hadi binti kukwambia ana mimba yako? kuna dada tuko nae kenye mahusiano mwaka moja na miezi miwili.
Kwasasa ana mimba ya miezi saba. Habari za mimba nilianza kuzisikia toka kwa rafiki zake, nikamuuliza "nasikia una mimba?" akasema " kama ninayo si ina baba ake?", nikatulia maana niliona anataka kuwa mkali.
Baada ya mimba kufikisha miezi mitano ndo akanambia eti ana mimba, nikamwambia si nilikwambia walinambia una mimba ukakataa? akasema si nilikwambia ina baba ake?. akanambia kama nilipenda utamu basi nikubali na mengine. wasiwasi wangu kwanini hakunambia mapema? yaani wiki ya kwanza ya mimba?
Yeye anadai mimba ya kwangu. mwenye uzoefu katika hili anisaidie nipo njia panda ndugu zangu! akina dada nategemea mawazo yenu katika hili. i'm so confused. Dada tunasoma nae chuo kikuu hapa Dar.
Kwasasa ana mimba ya miezi saba. Habari za mimba nilianza kuzisikia toka kwa rafiki zake, nikamuuliza "nasikia una mimba?" akasema " kama ninayo si ina baba ake?", nikatulia maana niliona anataka kuwa mkali.
Baada ya mimba kufikisha miezi mitano ndo akanambia eti ana mimba, nikamwambia si nilikwambia walinambia una mimba ukakataa? akasema si nilikwambia ina baba ake?. akanambia kama nilipenda utamu basi nikubali na mengine. wasiwasi wangu kwanini hakunambia mapema? yaani wiki ya kwanza ya mimba?
Yeye anadai mimba ya kwangu. mwenye uzoefu katika hili anisaidie nipo njia panda ndugu zangu! akina dada nategemea mawazo yenu katika hili. i'm so confused. Dada tunasoma nae chuo kikuu hapa Dar.