chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Nina habari kuwa Samora alishawahi ishi iringa. Kuna sehemu yaitwa FLERIMO. Kuna vijumba vya wapigania Uhuru Mabosi. Moja ilikuwa yake. Pia nna taarifa kuwa Mkewe alisha wahi fundisha kule Kaole Bwagamoyo....
Je, kwanini na yeye aliuwawa mpakani mwa AK akitokea Zambia?
Je, kwanini na yeye aliuwawa mpakani mwa AK akitokea Zambia?