kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Yaani kama una hasira unaweza pigana na watu kabisa!
Utakuta mtu amekaza hadi shingo kwamba CUHAS ndo chuo bora, mwenzake wa upande wa pili naye amekomaa MUHAS ndo chuo bora, huku kwa wenzangu nako ugomvi ule ule, wa SUA anasema pale ndo kuna msuli, UDSM ndo wanavaa vitambulisho hadi bar kuonesha ndo superior, MZUMBE nao wanakuja juu kwamba wao ndo bora yaani kiujumla ni fujo.
Sasa kumaliza huu utata mamlaka inayohusika anzisheni mitihan ya kitaifa ya vyuo vikuu alafu matokeo yapangwe kama Sekondari yaani wanafunzi 10 bora, vyuo vikuu 10 bora pia wanafunz wabovu 10, vyuo vikuu vibovu 10 nadhani hapo tutamaliza atleast hii ligi.
Maana mmezidi sasa, hadi walimu wakaifundisha shuleni siku anawainspire watoto waende kwenye chuo chake, wengine JORDAN UNIVERSITY, wengine TECU.. watoto wakija nyumbani utashangaa wanaanza kukuuliza kuhusu vyuo,
HII LIGI IFIKE MWISHO.
Utakuta mtu amekaza hadi shingo kwamba CUHAS ndo chuo bora, mwenzake wa upande wa pili naye amekomaa MUHAS ndo chuo bora, huku kwa wenzangu nako ugomvi ule ule, wa SUA anasema pale ndo kuna msuli, UDSM ndo wanavaa vitambulisho hadi bar kuonesha ndo superior, MZUMBE nao wanakuja juu kwamba wao ndo bora yaani kiujumla ni fujo.
Sasa kumaliza huu utata mamlaka inayohusika anzisheni mitihan ya kitaifa ya vyuo vikuu alafu matokeo yapangwe kama Sekondari yaani wanafunzi 10 bora, vyuo vikuu 10 bora pia wanafunz wabovu 10, vyuo vikuu vibovu 10 nadhani hapo tutamaliza atleast hii ligi.
Maana mmezidi sasa, hadi walimu wakaifundisha shuleni siku anawainspire watoto waende kwenye chuo chake, wengine JORDAN UNIVERSITY, wengine TECU.. watoto wakija nyumbani utashangaa wanaanza kukuuliza kuhusu vyuo,
HII LIGI IFIKE MWISHO.