Utata: Uvamizi wa clouds FM

Pengine umesahau kuwa wadhifa wa RC ni mkubwa sana kuliko utangazaji au ukurugenzi wa media.

katika andishi lako unadai kupata video ili ushahidi ukamilike. Je Ile clip haimuoneshi RC akiwa na askari wenye mtutu wakiingia studio za clouse? Pengine unaweza ukajitetea kuwa ni walinzi wake OK. Je RC analindwa zaidi hapa nchini kuliko mkuu wa nchi? Na wapi ulishaona mkuu WA nchi kaongozana na walinzi wenye silaha za dhahiri shahir?

Kwa majibu ya maswali ayo ni wazi utapata kujua adhma ya RC kufika Na mtutu pale haikuwa njema. Na ikiwa RC hakuhusika Na tulio zima (maybe picha za kutengeneza) mbn hakutoa kauli yeyote au kukichukulia hatua xhombo hicho kwa kumchafua yeye Na KITI chake??

Tusitetee maovu kisa kafanya mzazi wako.
 
Ushahidi mkuu nikukaa kimnya kwa mlalamikiwaji.Mana kama uongo kwakuchafuliwa huku angejitokeza kukanusha au kukemea tuhuma dhidi yake.
 
Nipe maana ya uvamizi?
Naona unatoka mapovu sana.
 
Ushahidi wa video mbona ulikwisha sambaa labda wewe hukufanikiwa kuupata

Au una hoja unayotaka kuianzisha maana hili swala liko wazi kwa aliyelifatilia

Kwa akili ya kawaida tu makonda alikosea
Ile video inaonyesha anaingia ndani ya studio
Haionyeshi kuvamia.
Labda fafanua unaelewa nini kuhusu kuvamia.
 
RC ungejua kabla usinge wagusa wala unga na wauzaji maana wanavokuchukia mpaka inaogopesha
 
What is your point.


Swissme
point yake ni kwamba watu wanatuzuga tatizo ni vita dhidi ya madawa ya kulevya!na kama ni maslahi makubwa wauza madawa wamepenyeza Rupia kumchafua Rc,ushaidi utolewe tumuhukumu mtu sio umbeya wa mtaani wa tanzagiza na gwajima!
 
kwanini Bashite aliikimbia tume iliyoundwa na Nape?

Kwanini Bashite alizuia mkutano wa Nape na waandishi wa habari?

Mwambie bashite tushajua uchafu wake hafai Tena hata kuwa monita wa darasa la sita B.
 
Kama cctv camera ilionyesha akiingia na kutoka huo ni ushahidi au ushahidi kidogo akili yako haijatulia usifanye mambo kwa uoga kama basata
 
point yake ni kwamba watu wanatuzuga tatizo ni vita dhidi ya madawa ya kulevya!na kama ni maslahi makubwa wauza madawa wamepenyeza Rupia kumchafua Rc,ushaidi utolewe tumuhukumu mtu sio umbeya wa mtaani wa tanzagiza na gwajima!

Madawa ya kulevya ndio mumegeuza kichaka Cha Kujifichia, mnafanya upuuzi halafu mnajifanya tatizo ni Vita ya madawa.

Nani asiyejua Daudi anatumia nafasi yake kuchafua watu kwa chuki binafsi.

Mnatongoza akina Wema na Vanesa wakiwakataa mnawataja kwenye madawa.

Kuweni na aibu.
 
Mwenyewe unaona umetuletea kitu kiiiippppyaaaaaaa,
Ilishaletwa haa hii topic,
HUko ulikoitoa waambie au waulize watakwambia source ni JF,
 
Kwa hyo una ushahidi amewatongoza wakamkataa?wewe sielewi umeshikiwa akili na nani!
 



What is your point.


Swissme

swissme: soma hiyo haya ya mwisho ya mleta mada ni jibu swali lako "What is your point" kuhusu tuhuma ya RC Makonda (aya ya kwanza).

Mitandao ya kijamii imetugeuza misukule. Uchafu na uozo wote tunaufakamia.
 
Hakuna utata wowote kila kitu kiko wazi Bashite akiwa na walinzi wa rais wamevamia kituo cha matangazo cha Clouds media wakiwa wamebeba silaha nzito za vita.

Unajifanya kujua ya kuambiwa na kuota ndoto za kumwondoa RC Makonda.
Unaowasema walivamiwa mbona hawajafungua mashitaka kwa ushahidi huo.

Ruge anajua kilichotokea na ndiyo maana, kwa sababu anazozijua, ilichukua siku mbili kutoka hadharani na kudai kituo kimevamiwa. Yumkiniki ni kuvuja kwa 'video clip' ikimwonyesha RC Makonda akiingia kituoni. Na naamini mtumishi wa CLOUDS TV aliyevujisha hiyo 'clip' amekwisha kutumbuliwa wakati RC anachapa kazi.

Daudi Mchambuzi, usijivunjie heshima kwa kushabikia uzushi na udaku huku ukijiita 'mchambuzi'.
 
Kama cctv camera ilionyesha akiingia na kutoka huo ni ushahidi au ushahidi kidogo akili yako haijatulia usifanye mambo kwa uoga kama basata
Ok
Hapo nimekuelewa.
Basi kama kuingia na kutoka ni kosa au ndio kuvamia kwa nini wasipeleke kesi mbele
 
Ile cd aliyopewa waziri inaonesha mambo aliyofanya alipoingia studio, tunasubiri akanushe tumeweke hadharani, hii itakua kama Gwajima ;

"Single touch double manifestation"
Mnasubiri nini sasa?
 


Ni chizi pekee atakayekaa kubishana na chizi,

mwerevu akiona chizi anabwabwaja, anacheka na kuondoka zake
 
Ulitaka kueleza jambo gani hapa? Kwamba Clouds TV wapeleke ushahidi mahakamani kabla ya shauri kupelekwa mahakamani au ulikusudia nini? Kwamba Clouds TV waanzishe kipindi maalumu, kwa ajili yako wewe, waweke "video" ya tukio zima ili uamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…