Utata: Uvamizi wa clouds FM

Vyeti ni issue inayojitegemea ambayo Ikulu imekinga kifua na Mgongo.
weka vyeti mezani ili mzizi wa fitna ukatwe.

Mkaanga Ubuyu wa vyeti ni Mtukufu Rais mwenyewe kwa hiyo ni lazima autafune

Mi sitetei alichofanya ila kama watu wanataka vyeti ili wajiridhishe kwa nin na video wasitoe tu yote kama narudia tena kAMA IPO. Cheti yeye anatuzunusha basi tulicho nacho tukiweka waz mwanzo mwisho nkimaanisha hyo video
 
Ivi unawezaj kumsem mwenzio ni marehm ilihal na ww pua yako inaangalia chini?? jitafakari mkuu ikibid ukatubu kabisa kwa ulichokisema na Mungu akusameh bure!!!
 
Usimsahau babu tale nae atoe ushahidi.alijuaje kuwa makonda anajua walipo akina roma
 
Wakuwekee wewe clip yenye ushahidi wote. Wewe ni mahakama?
Swali zuri mkuu,,, akiwekew hizo clip atafanya nn yy ilihali waliovamiwa hawajaenda mahakamn coz hizo clip zitaonekan if walalmikaj wakiend mahakamn na izo clips ndio itakua part ya ushahidi wao ,,sas mtoa mada asem km yy nd jaji au ni mke wa jaji ili tumuelew anazihitaj za nin
 
Mi nadhani CCTV kamera zipo kote watuwekee video kuanzia anawalazimisha walinxi hadi fujo studio!
Kifupi huu uzi utaonekana ni utumbo kwa sababu rc kutaja maslahi ya wala ngada;
 
mkuu, ungekuwa umepitia jeshi ungeelewa kwa nini unachotaka kifanyike si sahihi kufanyika sasa.
 
.
Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.
Kunamtu yoyote kamuelewa huyu anitafsirie maana anaongea kiingereza kigumumu kweli.
 
Hivi kesi tayari imeanzwa kusikilizwa?
 

Mwambieni anayewapa pesa kwamba hizi mbinu zake na article zisizo na mashiko ndo zinathibitisha kabisa kwamba hana vyeti. Watu wenye vyeti wapo calculated sana.
 
Uzi wako umekamata namba moja katika nyuzi mbovu asubuhi ya leo
 
Kwa hili kiswahili ni muhimu wachache wanaojua kiingereza mjomba lakini ni maoni yangu tu
 
Hata kama umetumwa kaka yangu tumia na akili yako co ku-paste akili ya waliokutuma yote.

Kama hoja yko ni mambo yawe na ushahidi, Je wewe una USHAHIDI gan kuwa RUGE alikuwa na maslahi na RC na sasa amepata maslahi zaidi pengine??? Kwa kuandika hapa tu ndo ushahidi wako.

Je wapi (section) ya sheria ya ushahidi (Cap 6) inasema PART OF VIDEO evidence is INADMISSIBLE unless the full???.

Je waliokutuma ndo wamekwambia sheria ya ushahidi (supra) kuwa ushahidi wa video ndo mkubwa kuliko wowote ule??.

Kawambie kuwa JF members wamekataaaaa!! na kwamba WAMEONYA kuwa Tanzania kwa mjibu wa sheria ya ushahidi (supra) na maamuzi ya mahakana za juu USHAHIDI mkubwa ni DIRECT EVIDENCE (perceived by sense organs) kwa case hii yaan ushahidi wa Kuona!. Huo wa computer devices hutumika hasa kwenye masuala ya kibiashara (eg bankers). So Vijana wa SHILAWADU kwa sababu wana ushahidi wa kuona (direct evidence) ndo mkubwa kuliko. Wee unataka kugeuza CLIP ile kuwa filamu/move ukiwa umepumzika so inakuboa tu pale inapokuwa fupi.
 
Je kama camera ipo reception tu?
 
Ni vizuri wakati mwingine uwe ni msomaji tu kuliko kuandika thread za aina hii.
 
Mkuu unajisumbua sio makonda tena Jana bungeni nasikia kuna mtu amesema waliovamia ni usalama wa taifa
 
Hii habari kama ya kumuosha mtu uovu, lkn ujue uovu wa mtu muovu utazihirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…