Utata: Uvamizi wa clouds FM

Utata: Uvamizi wa clouds FM

dist111

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
3,909
Reaction score
3,461
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
 
Ushahidi wa video mbona ulikwisha sambaa labda wewe hukufanikiwa kuupata

Au una hoja unayotaka kuianzisha maana hili swala liko wazi kwa aliyelifatilia

Kwa akili ya kawaida tu makonda alikosea
 
Mbona unajichanganya ndugu? Unataka ushahidi gan zaidi wa cctv ulosambaa? Unategemea mtu angekaa na kurekodi as film? Possibly unayo tunaiomba
 
Nimeamini maneno ya wahenga........"every "BODY" has its price!

You "people, the more you come up with these topics of trying to make the Victims of your "stupid actions" look Irrelevant, the more you open up one more door closer to the reality we (concerned citizens of Tanzania)have been searching for in Vain!

Ipo siku.......
 
Si amesema WAZIRI husika anasubiri ushahidi wa bashite kwa vile maelezo yake hayajapatikana au kuna jambo limebadilika?
 
Labda nikuulize mtoa mada ile ripoti aliyokabidhiwa nape umeiona na kuisoma yote ? Kama hujui kiliandikwa nn mule ndani basi ni vyema ukatulia.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Upo sahihi kabisa. Suala la video kuonyesha mtu akiwa anaingia na kutoka bila purukushani au majibizano yoyote inatia shaka sana. Kimsingi Ruge anapata kiburi cha kuongea kwa sababu ile ambush ili abort. Lile jumba huwa usiku linageuka kuwa ni genge la kugawa ngada kwa wasanii na usiku ule ni bahati tu iliwakuta. Sasa kwa kuwa watu wana negative attitude na RC Mh. Paul C. Makonda, basi wala hawaoni juhudi zake za kutenda kazi.. Chapa kazi RC wetu, Mungu atakulinda na hila za vibaraka zitashindwa. Viva Makonda Viva.
 
Ushahidi wa video mbona ulikwisha sambaa labda wewe hukufanikiwa kuupata

Au una hoja unayotaka kuianzisha maana hili swala liko wazi kwa aliyelifatilia

Kwa akili ya kawaida tu makonda alikosea
Weka misijawai kuuona huo wakiwa ndani ya studio sio ule wa pale mapokezi.
 
Labda tukusaidie tu bashite hateuwi watendaji anaeteua babaake bashite kama unataka uteuzi bora utumie njia mkato ukamwambia naomba kazi huku unazunguka tu.
 
Sidhani kama kuna mwenye video inayooesha RC akifanya fujo, zaidi ya vile viclip vinavoonyesha akiingia na kutoka, sasa kwa RC ambaye amezoea kushinda clouds why asiingie na walinzi wake wakati ni jamaa yao! Inahitajika CCTV video zikionyesha RC anafanya fujo au walinzi wakilazimisha kuingia

Ila wale walinzi wake wanaonekana wanaingia peacefully kbs, halafu maelezo yanakuja kuwa kavamia kituo cha habari!
Unless inakuja video ionyeshayo Makonda akiingia kwa nguvu clouds otherwise aliingia kama anavoingia siku zote kituo hicho

Na hii inamaanisha Ruge na RC wametofautiana maslahi tu, au kwa kifupi tuseme Ruge amepata maslahi makubwa kuliko RC ndo maana wakapishana
 
Ushahidi wa video mbona ulikwisha sambaa labda wewe hukufanikiwa kuupata

Au una hoja unayotaka kuianzisha maana hili swala liko wazi kwa aliyelifatilia

Kwa akili ya kawaida tu makonda alikosea
Mtoa mada kasema kuwa, kwanini clip ya uvamizi ioneshe kifupi sana, tena ni tendo la kuingia peke yake wakati sec cam hazikuzimwa?
Kwanini hawakuonesha mkanda mzima wa uvamizi wanaoudai walifanyiwa? Kuna kitu gani kilichowakataza kutuonesha a-z ya kisa kizima kitumike kama kielelezo mahakamani, badala yake wakaishia kuonesha tendo la kuingia peke yake? Ndiyo point ya msingi ya mtoa mada.
 
Mbona unajichanganya ndugu? Unataka ushahidi gan zaidi wa cctv ulosambaa? Unategemea mtu angekaa na kurekodi as film? Possibly unayo tunaiomba

CCTV ianrekodi tukio zima automatically, na ushahidi wa tukio zima wanalo why wanatoa ushahidi nusunusu

unless kuna agenda ya siri, lakini ushahidi ule haujitoshelezi kumtuhum wala kumfunga RC

wanao ushahidi mzima, why wametoa kakipande kaduuchu kabisa
 
Niende moja kwa moja kwenye mada,

Kuna habari chungu nzima zinazoelezea jinsi RC wa Dar es Salaam alivovamia Clouds Media lakini habari hii ina ushahidi kidogo sana, ushahidi mkubwa ni mahojiano ya Bw Ruge na waandishi wake wa habari, na clip fupi inayomuonyesha RC akiingia na kutoka ofisin kwao.

Kila mtu anayemjua Ruge anamjua ni mtu wa maslahi, ni mwepesi sana kumgeuka yoyote kunapo maslahi. Hili linaweza elezewa vzr na Mr II (Sugu) kuliko yoyote. Asingeweza kuacha maslahi makubwa aliyenayo kwa RC huyo na kugombana naye unless anamaslahi mengine makubwa zaidi, na kwa maana hiyo maneno yake siyo ya kuzingatiwa saana labda kama yana ushahidi mwingine wa ziada.

Kwa hilo, ingekuwa vyema Clouds Media wakatoa ushahidi huo wa ziada kwa kuonyesha mkanda mzima ukionyesha uvamizi ule ili ndugu RC ashtakiwe kwa hilo na kwa sababu ushahidi wa video ni mkubwa zaidi ya ushahidi mwingine wowote ndugu makonda hawezi kukwepa kamwe huko mahakan au kokote ushahidi utakapoonyeshwa.

Swali la kujiuliza why haujatolewa ushahidi woote huo either kwenye TV yao au mahakan na badala yake zimeanza kuwekwa hadithi moja baada ya nyingine (vyeti,uvamizi,utakaji....) mpaka mwishowe verse zitaisha na hakuna lililobadilika.

Naamini haki ya RC na Clouds Media ziko kwenye hiyo video. Clouds Media watuweke wazi ili tumjue mkuu wa mkoa vzr na tumhukum kwa hilo na si maneno yao.

Kwa video hiyo hatutahitaji vyeti wala tuhuma za yeye kumteka ROMA, ila bila video hiyo itakuwa ni hadithi tu kama hadithi nyingine zozote, baada ya utamu na uwongo wa hadithi kila mtu anakung'uta matako yake na kwenda kukojoa then kulala kesho tukisubiria hadithi nyingine.
Sirro kawaambia clouds kama wanaona walivamiwa na makonda na ushahidi wanao basi wakaripoti polisi kisha dola itake over kesi hiyo, mpaka leo kimya!
 
Labda tukusaidie tu bashite hateuwi watendaji anaeteua babaake bashite kama unataka uteuzi bora utumie njia mkato ukamwambia naomba kazi huku unazunguka tu.


Hii ndo shida ya waTZ, mnapenda kukurupukia mambo bila hata kujua mantiki ya jambo. Na ndo maana daily tunaendeshwa na matukio tena mengine hayana hata msingi,

Video ya RC akivamia kituo cha habari ipo, why haiwekwi mitandaoni ikaonekana instead inaonekana nusunusu

unless nao clouds wana agenda ya siri ya kuonyesha huko nusutukio, otherwise RC asingekuwepo alipo leo kwa sbb ushahidi wa uovu upo, why waliofanyiwa uovu hauweki hadharan???????????????????????
 
Back
Top Bottom