Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,897
- 14,447
Naunga mkono hojaMkuu The bold Salute nyingi kwako,,,nimepitia madini yote uliobandika kwa kweli yana thamani..Huyu anaonyesha CIA ndio waliomuua kikatili namna hio na JFK hakujua kwamba alikaa nao hadi meza yake ya kulia chakula,,na kwa namna walivyo wanafiki walimuongoza mpaka ktk eneo la kifo chake..Mkuu utakapomaliza andiko hili kama itakuwa ktk interest yako hebu tuchambulie na yaliomkuta YITZHAK RABIN wa Israel maana na yeye alienda kinyume na waliotaka Mossad.Big Up sana mkuu.