Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

Kiukweli inauma sana....mtu anapoteza muda mb kuzunguka mitandaoni kukusanya hiki na kile ili akuletee kitu kizuri alafu inakuja mijitu isiokuwa na utu inaiba alafu watu wanawatetea hili alikubariki.... Napinga kwa nguvu zote HALIKUBARIKI
Watetezi wenyewe ndio walewale halafu hawana jipya.
Wanapiga majungu sie kazi kazi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu The bold Salute nyingi kwako,,,nimepitia madini yote uliobandika kwa kweli yana thamani..Huyu anaonyesha CIA ndio waliomuua kikatili namna hio na JFK hakujua kwamba alikaa nao hadi meza yake ya kulia chakula,,na kwa namna walivyo wanafiki walimuongoza mpaka ktk eneo la kifo chake..Mkuu utakapomaliza andiko hili kama itakuwa ktk interest yako hebu tuchambulie na yaliomkuta YITZHAK RABIN wa Israel maana na yeye alienda kinyume na waliotaka Mossad.Big Up sana mkuu.
Pamoja sana mkuu... Nitafanyia kazi suala la Israel
 
Hv kuna sehemu ya pili ya simulizi hii? Maana natafuta muendelezoq hata siuoni
 
Back
Top Bottom