Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Wakuu naomba kufahamishwa ikiwa mfanyakazi yuko serikalini na anafani mbili mfano ni Afisa kilimo na mifugo na ni mwanasheria ,anataka kubadilisha afanye kama mwanasheria wa serikali au idara inayoswihi na hiyo taaluma ya pili,naomba kujulishwa utaratibu kufatwa au waraka wa serikali juu hilo.!