Ntozi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 226
- 299
Huu utaratibu ulikuwa unaleta shauku Kwa wananchi na majibu mengine yalipatikana kupitia utaratibu huu.
Kuna wakati wananchi wanakuwa na shauku ya kujua kinachondelea nchini juu ya mambo mbalimbali yanayokuwa yanaendelea.Na wanakuwa na imani kuwa mwenye majibu ya mwisho ni Rais wa nchi.
Ni wachache wenye uelewa wa kweli juu ya kupanda bei vifaa vya ujenzi, petrol,mbolea kwa wakulima na bidhaa zingine.wanahitaji kauli ya Rais badala ya ramli chonganishi kwenye mitandao ya kijamii. ule utaratibu ulikuwa na ubaya gani?Au ndiyo kila Zama na kitabu chake basi?
Kuna wakati wananchi wanakuwa na shauku ya kujua kinachondelea nchini juu ya mambo mbalimbali yanayokuwa yanaendelea.Na wanakuwa na imani kuwa mwenye majibu ya mwisho ni Rais wa nchi.
Ni wachache wenye uelewa wa kweli juu ya kupanda bei vifaa vya ujenzi, petrol,mbolea kwa wakulima na bidhaa zingine.wanahitaji kauli ya Rais badala ya ramli chonganishi kwenye mitandao ya kijamii. ule utaratibu ulikuwa na ubaya gani?Au ndiyo kila Zama na kitabu chake basi?