Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Wakuu,
Jana nilitembelewa na jirani yangu mmoja na akanieleza kuwa watoto wake wawili wamefaulu mtihani wa darasa la saba na wamechaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya Zinga iliyoko wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani. Hii ni moja ya shule zetu za kata.
Kitu kilichonistua na kunishangaza katika maelezo yake ni kuwa, pamoja na mambo mengine kama hela ya mlinzi; uji; kuni; ada; karatasi, kila Mwanafunzi anatakiwa AENDE NA KITI NA MEZA YAKE SIKU YA KUFUNGUA SHULE TAREHE 18/01/2010.
Je huu ni utaratibu wa nchi zima kwa shule zetu za kata au ni kwa shule hii ya ZINGA pekee?
Jana nilitembelewa na jirani yangu mmoja na akanieleza kuwa watoto wake wawili wamefaulu mtihani wa darasa la saba na wamechaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya Zinga iliyoko wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani. Hii ni moja ya shule zetu za kata.
Kitu kilichonistua na kunishangaza katika maelezo yake ni kuwa, pamoja na mambo mengine kama hela ya mlinzi; uji; kuni; ada; karatasi, kila Mwanafunzi anatakiwa AENDE NA KITI NA MEZA YAKE SIKU YA KUFUNGUA SHULE TAREHE 18/01/2010.
Je huu ni utaratibu wa nchi zima kwa shule zetu za kata au ni kwa shule hii ya ZINGA pekee?