Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

Mkuu.@Suprise Huyo Mshikaji wako ana makosa wakati alipoambiwa na mwanamke wake kuwa ana mimba

kwanini huyo mshikaji wako hakuenda Dar toka huko aliko kumpima hiyo mimba aliyokuwa nayo kama ni kweli

na je angelijuwa kuwa hiyo Mimba ni ya miezi mingapi? Swali langu hilo na jibu la swali lako Bora aende

kupima hiyo DNA itajulikana kama ni mtoto wake au sio mtoto wake na kama ikijulikana kuwa ni mtoto wake huyo rafiki

yako atakuwa ameadhirika kwa sababu hakuweza kumsaidia huyo Mwanamke wakati ana mimba ya huyo

mtoto mpaka alipo jifunguwa?ahh Sisi wanaume kazi yetu kutia mimba kisha tunapenda kuikataa hiyo mimba

kwanini? unapenda kucheza mchezo faida ya mchezo si kuzaa jamani? Wewe umezaliwa kwanini usizae?
 
hajakataa kuwajibika tatizo ni huo utata wa kutokea mimba ndani ya hicho kikipndi kumbuka hawakua katika mahusiano takriban miezi mitatu,namtetea he is responsibo dats y ametaka pima DNA amlee mtoto so msaidie taratibu za kuweza fikia hicho kipimo
 
Kwani alipoamua kulala na huyo bi dada siku nne alitegemea nini,
Hela ya DNA ni ndefu ni heri tu ampe huyo bi dada aendelee kujitunza yeye
na malaika atakaezaliwa.
DNA ni mbwembwe tu, kwenye ndoa kibao watoto wakiwa wanne ujue wawili ni wa nje.
 
Unavyo henya kwa kufungua mapost kibao juu ya hili jambo inaonyesha kuwa wewe ndo mhusika mwenyewe. Huyo Rafiki unamsingizia tu!
 
Asilimia 44 ya wanaume wanabambikiwa mimba zisizo zao na kulea watoto wasio wao,Hili zoezi la dna testing huwa linafanyika pale ocean road
 
Suprise kwanin unapenda kumtwisha mzigo mtu mwingine? Wakati matatizo ni yako na si ya mtu mwingine? Hyo mimba sio ya kwako ni ya mwanamme mwingine! Mpige chini na utafute demu mwingine....
 
Last edited by a moderator:
Mimba ya mwanaume mwenzio hiyo sio yako.

inawezekana ikawa ya kwake cha msingi asubiri mpaka atakapo jifungua ahalafu ahesabu siku..huyo demu inawezekana kabisa alijua kuwa akido anapata mimba pengine alijua ndiyo atamrudisha msela...
 
changa la macho hilo,DNA ndio kila kitu,asibebe mzigo usio wake
lakini kama mwezi wa tatu ama wa nne mwishoni alifanya nae ngono yawezekana mtoto akawa wake,ila kwa ile siku aliyekwenda Dom kimya kimya haiwezekani kumpa mimba na kutambulika ndani ya siku nne,labda awe amepewa mimba na mtu mwingine na alikwenda kusuuza tu ilimradi ionekane mimba ni ya jamaa,kikawaida ukifanya ngono na mwanamke aliye ktk siku zake za hatari,ni baada ya wiki 3 ndi unaweza ona tena kwa vipimo na hata ukipiga ultra sound huwezi ona kiumbe labda baada ya miezi 3 ama 4,sasa huyo dada siku nne tu mbona ni uongo usi fichika
 
Kwani alipoamua kulala na huyo bi dada siku nne alitegemea nini,
Hela ya DNA ni ndefu ni heri tu ampe huyo bi dada aendelee kujitunza yeye
na malaika atakaezaliwa.
DNA ni mbwembwe tu, kwenye ndoa kibao watoto wakiwa wanne ujue wawili ni wa nje.

Redmark! duh! nyie mko wangapi!
 
Kwani alipoamua kulala na huyo bi dada siku nne alitegemea nini,
Hela ya DNA ni ndefu ni heri tu ampe huyo bi dada aendelee kujitunza yeye
na malaika atakaezaliwa.
DNA ni mbwembwe tu, kwenye ndoa kibao watoto wakiwa wanne ujue wawili ni wa nje.

kaka yangu akijua hizo gharama ndio atajua kama anaweza kuaford au la, mtoto akikukuta ndani ya ndoa unaweza vumilia coz ndoa ni kiapo, bt now kwa nini ajitie kitanzi na hajafunga ndoa, so tusaidie gharama na taratibu tu ili kuondoa utata
 
Unavyo henya kwa kufungua mapost kibao juu ya hili jambo inaonyesha kuwa wewe ndo mhusika mwenyewe. Huyo Rafiki unamsingizia tu!

watu wa humu c waelewa hata kidogo mnakimbilia tu kua mtoto wangu nyie vp au ndo miujiza ya mungu na wadada wanaweza tia mimba
 
Asilimia 44 ya wanaume wanabambikiwa mimba zisizo zao na kulea watoto wasio wao,Hili zoezi la dna testing huwa linafanyika pale ocean road

Asante wewe mwaya atleast umeniambia nianzie Ocean road, vp kuhusu gharama una idea
 
changa la macho hilo,DNA ndio kila kitu,asibebe mzigo usio wake
lakini kama mwezi wa tatu ama wa nne mwishoni alifanya nae ngono yawezekana mtoto akawa wake,ila kwa ile siku aliyekwenda Dom kimya kimya haiwezekani kumpa mimba na kutambulika ndani ya siku nne,labda awe amepewa mimba na mtu mwingine na alikwenda kusuuza tu ilimradi ionekane mimba ni ya jamaa,kikawaida ukifanya ngono na mwanamke aliye ktk siku zake za hatari,ni baada ya wiki 3 ndi unaweza ona tena kwa vipimo na hata ukipiga ultra sound huwezi ona kiumbe labda baada ya miezi 3 ama 4,sasa huyo dada siku nne tu mbona ni uongo usi fichika

Anadai alipokosa cku zake akaenda pima hospital na kugundua ana mimba
 
watu wa humu c waelewa hata kidogo mnakimbilia tu kua mtoto wangu nyie vp au ndo miujiza ya mungu na wadada wanaweza tia mimba

Humu ni ID tu haionyeshi jinsia,weka picha yako tu prove na real name yako halfu uulize swali kama hilo kwenye facebook yako hapo ndio tutaprove na hyo fb yako iwe na zaidi ya mwezi tangia ifunguliwe otherwise wewe ndio uliyebambikiwa!! Kama vipi ni PM facebook name yako then nitaku inbox kwa facebook yangu.
 
Humu ni ID tu haionyeshi jinsia,weka picha yako tu prove na real name yako halfu uulize swali kama hilo kwenye facebook yako hapo ndio tutaprove na hyo fb yako iwe na zaidi ya mwezi tangia ifunguliwe otherwise wewe ndio uliyebambikiwa!! Kama vipi ni PM facebook name yako then nitaku inbox kwa facebook yangu.

we umeshindwa shauri pisha njia, watu kama we ukihangaika nao utajipunguzia cku za kuishi, nakudediketia songi la mke wa mzee yusufu, cna mda huo cna, ukiskiliza u wil come back
 
Mkuu umeonae! Jamaa hii kitu inamsumbua mbaya. Mpaka halali. Mtu anaamka saa kumi ya usiku kupost JF kwa ajaili ya kumshauri RAFIKI??? Na ni kwanini ufungue thread tofauti tofauti kwa jamabo hilo hilo? Halafu ooh, watu sii waelewa. Haya bana, kama sii waelewa mbona unakuja kuwashirikisha mambo yako?

Humu ni ID tu haionyeshi jinsia,weka picha yako tu prove na real name yako halfu uulize swali kama hilo kwenye facebook yako hapo ndio tutaprove na hyo fb yako iwe na zaidi ya mwezi tangia ifunguliwe otherwise wewe ndio uliyebambikiwa!! Kama vipi ni PM facebook name yako then nitaku inbox kwa facebook yangu.
 
Habari za adhuhuri wana-JF!
Naomba kujua ni taratibu zipi zinafuatwa ili kupima DNA ili kubaini uhalali wa mtoto ambaye ana utata juu ya yupi Baba halisi wa mtoto husika.

Ninaye ndg yangu (Mama wa Mtoto) ambaye kwa sasa ni marehemu aliacha mtoto tukiwa tunajua baba wa mtoto let say X, lkn sasa amejitokeza baba ambaye anamekuja nyumbani kwetu ambako mtoto yule amelelewa na kudai kuwa huyo ni mtoto wake biologically na hivyo anamhitaji mtoto huyo kwa maana ya sisi kumtambua rasmi kama ndiye baba halisi wa mtoto.

Kwa kuwa mama wa mtoto ambaye angebainisha ukweli alishatangulia mbele ya haki nadhani DNA inaweza toa usahihi wa yupi baba biological father wa huyo mtoto.

Na je ikibainika Baba aliyejitokeza sasa akawa baba halisi wa mtoto, baba aliyekuwa anajulikana awali na ambaye alisaidia malezi kwa mtoto huyo kisheria imekaaje na atatakiwa kulipwa fiidia yoyote bila kusababisha madhara kwa mtoto?

Naomba ushauri na karibuni katika mjadala.

Mtoto ni wa kike na amefikisha miaka 18.
 
Back
Top Bottom