Awe na kibali cha kuishi nchiniWakuu, kama heading inasema, naombeni kwa mtu wa jinsi hiyo anaipateje? Namaanisha documents za kubeba kuenda nazo kwa TRA.
Ahsante.
Ahsante sana mkuu Mshahana, Ubarikiwe sana.Awe na kibali cha kuishi nchini
Awe na kibali cha kufanya kazi nchini
Awe na mkataba wa makazi usiopungua mwaka mmoja
Awe na anuani
Nakala ya passport
Kama umepanga, mkataba ni muhimu.Samahani, mkataba wa makazi ni upi?
Yeah kwenye failiAhsante sana mkuu Mshahana, Ubarikiwe sana.
Kwahiyo Copy zote hizo zitabaki pale TRA?
Sehemu alipofikia.. Isiwe hotelSamahani, mkataba wa makazi ni upi?