Sodium 23
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 471
- 484
Habari za muda huu wapendwa!
Nina swali moja kuhusu taratibu za kuomba ruhusa bila malipo au kusitisha ajira kwa muda ili baadae ni'resume' ajira yangu serikalini. Kufuatia sintofahamu ya ajira nimefikiria kuingia sekta binafsi kwa muda ambapo itanilazimu kusaini mkataba wa mpaka miaka miwili.
Sasa incase kama ajira zikitoka katikati ya kipindi cha mkataba nilikua nafikiria kuripoti kituo cha kazi halafu niombe ruhusa ndefu mpaka pale mkataba wangu utakapoisha huku kwenye sekta binafsi. Hivyo naombeni utaratibu wa kufanikisha hilo halafu au kama kuna ushauri mbadala wa kufanikisha hilo naomba mnipatie.Asanteni
Nina swali moja kuhusu taratibu za kuomba ruhusa bila malipo au kusitisha ajira kwa muda ili baadae ni'resume' ajira yangu serikalini. Kufuatia sintofahamu ya ajira nimefikiria kuingia sekta binafsi kwa muda ambapo itanilazimu kusaini mkataba wa mpaka miaka miwili.
Sasa incase kama ajira zikitoka katikati ya kipindi cha mkataba nilikua nafikiria kuripoti kituo cha kazi halafu niombe ruhusa ndefu mpaka pale mkataba wangu utakapoisha huku kwenye sekta binafsi. Hivyo naombeni utaratibu wa kufanikisha hilo halafu au kama kuna ushauri mbadala wa kufanikisha hilo naomba mnipatie.Asanteni