Utaratibu wa kulaza mabasi ya abiria Nzega uangaliwe upya

Mkuu kwani Siku hizi hawalali tena Shinyanga?
Mbona Nzega ni mbali?
Halafu Kuondoka Dar Wameshaanza SAA 11alfajiri? Au ni SAA. 12 alfajiri?
Wanalala Shinyanga kwani mabasi ya Dar yanaingia Mza saa 2 asubuhi kesho yake
Means km kuna dereva wa ziada anashindwaje kumalizia kipande cha toka Shy to Mza kwa siku hiyo?Ukizingatia from Shy to Mza ni masaa mawili na nusu tu au matatu?
Ni heri mtu afike Mza saa 8 usiku ili km ni kulala stand alale kwa hiari yake ila km hataki anaweza kuchukua taxi na kulala kwake
 
Kulingana na muda waliojipangia wahusika. Mkifika muda flan wanawazuia nzega mkiweza chomoka basi linazuiwa shinyanga.

Ila stendi ya nzega na dodoma ni ukurupukaji mkubwa. Bora wangeziboresha kwanza hata kwa hatua ya stend ya singida hivi
Imeanza lini hii ya kulala Nzega tena, nachojua yale mabasi ya kujikongoja huwa yanalala shinyanga lkn ukipanda kina Kisbo, kibo safari au kidia one mnatoboa Mwanza
 
Ulinzi hafifu,mkitekwa njiani ni shida.

Enzi za wimbo wa mtaji wa maskini ilikua balaa
Wanalala Shinyanga kwani mabasi ya Dar yanaingia Mza saa 2 asubuhi kesho yake
Means km kuna dereva wa ziada anashindwaje kumalizia kipande cha toka Shy to Mza kwa siku hiyo?Ukizingatia from Shy to Mza ni masaa mawili na nusu tu au matatu?
Ni heri mtu afike Mza saa 8 usiku ili km ni kulala stand alale kwa hiari yake ila km hataki anaweza kuchukua taxi na kulala kwake
 
Sumatra wana kambia utaratibu huo ni lazima pia wizara nyingine zihusishwe kwani enda ajari itatokea saa kumi afrajili vyombo vya uokozi vitaweza patikana? je hospital muda huo za kupokea wahanga zitakuwa wazi?japo hata hizo zinazotokea mchana tu ni majanga msaada ndio huo watu wana kandamizwa na contena vyombo vya uokozi hakuna!!

Mkuu nadhani ungesoma Comments mpka mwisho ili angalau upate cha kuchangia.
Sorry! Hivi ajali ya MV Nyerere ilitokea usiku? Si ilikuwa mchana vipi mliwaokoa?
Hujawahi kusafiri kanda ile ndo maana,na hata nzega sina shaka hupajui..
Hivi lipi bora kuanza safar saa 10 alfajir ili ikifika saa 4 wawe wamefika,au kuanza safar saa 12 au 1 kasoro kisha basi lifike saa 7 usiku?
 
Mkuu nadhani ungesoma Comments mpka mwisho ili angalau upate cha kuchangia.
Sorry! Hivi ajali ya MV Nyerere ilitokea usiku? Si ilikuwa mchana vipi mliwaokoa?
Hujawahi kusafiri kanda ile ndo maana,na hata nzega sina shaka hupajui..
Hivi lipi bora kuanza safar saa 10 alfajir ili ikifika saa 4 wawe wamefika,au kuanza safar saa 12 au 1 kasoro kisha basi lifike saa 7 usiku?
mkuu wewe ndio hujanielewa ndio maana nimesema SUMATRA,ndio wanasema hivyo!!ndio maana mwishoni nikasema mbona hata nyingine zinatokea mchana lakini hakuna msaada wa haraka?!!!mimi naijua sana hiyo barabara kwani mala nyingi nikienda bukoba huwa tunalala kahama!!na kioindi kile tukienda mwanza tulikuwa tunaingia shinyanga saa tatu na mnalala pale!!
 
Kwa kweli nawaonea huruma abiri wanaoteseka na utaratibu wa kulala njiani, niliwahi kutoka msibani tulikuwa tumekodi Coaster kurudi Dar, kufika Dumila saa tano usiku tukazuiwa kuendelea na safari, mateso ya kulala kwenye gari ni makubwa sana.
Ushauri wangu ili kupunguza adha hii, na kuzingatia usalama wa abiria
Kwanza, kwa mabasi yanayotoka Dar na kwenda zaidi ya 1,000km ni vema yakaanza safari saa kumi alfajiri. Jiji la Dar kwa muda huo pilikpilika huwa zimeshachanganya sana, huwezi kusema kuwa abiria watakwazika usalama wao, au kufika Ubungo terminal wakati daladala zinakuwa zimeshajaa barabarani.
Kwa mabasi yanayokwenda kati ya 800km na 1,000km yanaweza kuondoka saa 11 alfajiri. Hii timing synchronization itapelekea msongamano usio wa lazima kwa mabasi ya awali kufanya road clearance. tofauti na sasa ambapo ikifika saa kumi na mbili asubuhi mabasi yote yanaruhusiwa wakati uwezo wa kufanya gate clearance unakuwa mdogo, utakuta basi lina ratiba ya kutoka saa 12 lakini linafanya gate clearance saa 1 asubuhi
Pili, kuwekwe utaratibu wa kuwa na standi zaidi ya moja kwa lengo la kupunguza msongamano usio wa lazima pale Ubungo, nilisikia kuwa mpango upo wa kuwa na stendi Boko, Mbezi Mwisho na Mbagala.
Tatu, ukaguzi wa magari ufanyike usiku wakati ambapo hitilafu ikigundulika inaweza kurekebishwa tofauti na sasa ambapo ukaguzi hufanywa wakati abiria wapo ndani ya gari tayari kwa safari.
Nne, kwa wale wa kutoka mikoani ingekuwa bora Mh Waziri Lugora angeongeza wigo wa tamko lake kuhusu ratiba ya kutoka mapema kabla ya saa 12 asubuhi kutokana na mazingira yao, tofauti na sasa ambapo, kama nilivyolielewa agizo la Mh Waziri Lugora lilikuwa kwa mabasi yatokayo Dar peke yake.
 
Back
Top Bottom