Utaratibu wa kuita watu wengi kwenye usaili kuwania nafasi moja ya ajira

jamago2015

New Member
Mar 24, 2016
1
2
Kuna utaratibu uliozoeleka kwa taasisi za serikali kuita wasailiwa wengi kwa nafasi moja.Utaratibu huu binafsi naona hauna tija zaidi ya kuongezea gharama kubwa wasailiwa.Kwa mfano unakuta usaili unafanyika Arusha na mtu anayefanyiwa usaili anatoka mkoa wa Mwanza lakusikitisha mwisho wa siku mtu anashindwa kupata ajira hiyo hasara nani anayeweza kuifidia.
ushauri wangu vyombo vinavyohusika kwenye kutoa ajira viweke vigezo ambavyo vitatoa nafasi ya kuita wasailiwa wachache.
 
Kuna utaratibu uliozoeleka kwa taasisi za serikali kuita wasailiwa wengi kwa nafasi moja.Utaratibu huu binafsi naona hauna tija zaidi ya kuongezea gharama kubwa wasailiwa.Kwa mfano unakuta usaili unafanyika Arusha na mtu anayefanyiwa usaili anatoka mkoa wa Mwanza lakusikitisha mwisho wa siku mtu anashindwa kupata ajira hiyo hasara nani anayeweza kuifidia.
ushauri wangu vyombo vinavyohusika kwenye kutoa ajira viweke vigezo ambavyo vitatoa nafasi ya kuita wasailiwa wachache.
Cjakuelewa una maana ya kua wanaitwa hawana vigezo ???
 
Cjakuelewa una maana ya kua wanaitwa hawana vigezo ???
Sio kwamba hawana vigezo,unajua maana ya neno shortlisting?.Haiwezekani nafasi 10 alafu unaita watu 1500 kwenye usaili.Ina maana umeshindwa kuangalia jinsi walivyozidiana vigezo uwapunguze kwa kuset high standards hadi wabaki wachache!
 
Sio kwamba hawana vigezo,unajua maana ya neno shortlisting?.Haiwezekani nafasi 10 alafu unaita watu 1500 kwenye usaili.Ina maana umeshindwa kuangalia jinsi walivyozidiana vigezo uwapunguze kwa kuset high standards hadi wabaki wachache!
Kweli Kaka! Inakera sana
 
Ni kwel wanakua wengi ila bado na wewe ukiachwa kwe hyo shortlist bado utalalamika kua ukuitwa.

ndo maana mara nying kuna written na oral interview...

Recruitment and selection ni process muhimu sana ambayo inatakiwa ifanyike kwa umakin mkubwa mno. Ceteris peribua
 
Kama wanavigezo waitwe tu then mkaminyane ktk interview hakuna haja ya kubaniana
 
kwa kuwa kuna written waitwe tu kwa kweli,then uwezo wako uoneshe hapo kweny written ili nawe uwe mmoja ya watu wachache watakaokuwa shortlisted kwa ajili ya oral interview.
 
Back
Top Bottom