jf user
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 777
- 622
Habari MMU.
Binafsi husikia watu waliooa wake wawili, watatu, wanne na kuendelea ila sijui nana wanavyoishi.
Je kila mwanamke ana nyumba yake? je wanaishi ndani ya nyumba moja?
Mengine
1/Hao wake hawaoneani wivu labda Fulani anapendwa Zaidi, au ni mzuri Zaidi?
2/Kugawana mali, gharaa za matunzo, na shughuli nyingine inakuaje?
3/Wakati wa mgegedo inakuaje? ni kila mwanamke kwa wakati wake au ni wote kwa pamoja kwa maana hiyo ni mambo ya three some, four some n.k
4/Mwanaume huwezi zidiwa kuwaridhisha wote? kwa sababu wote wanaweza kuwa wanataka kwa wakati mmoja sasa ikakusumbua mtu mzima?
5/Wakati wa kupika chakula unakuwaje kkw hao wanawake?
6/Kuandika urithi inakuwaje kwa hao wanawake hasa pale unapokua umezaa na wanawake wote?
Binafsi husikia watu waliooa wake wawili, watatu, wanne na kuendelea ila sijui nana wanavyoishi.
Je kila mwanamke ana nyumba yake? je wanaishi ndani ya nyumba moja?
Mengine
1/Hao wake hawaoneani wivu labda Fulani anapendwa Zaidi, au ni mzuri Zaidi?
2/Kugawana mali, gharaa za matunzo, na shughuli nyingine inakuaje?
3/Wakati wa mgegedo inakuaje? ni kila mwanamke kwa wakati wake au ni wote kwa pamoja kwa maana hiyo ni mambo ya three some, four some n.k
4/Mwanaume huwezi zidiwa kuwaridhisha wote? kwa sababu wote wanaweza kuwa wanataka kwa wakati mmoja sasa ikakusumbua mtu mzima?
5/Wakati wa kupika chakula unakuwaje kkw hao wanawake?
6/Kuandika urithi inakuwaje kwa hao wanawake hasa pale unapokua umezaa na wanawake wote?