Hakuna utaratibu huo wa kumia tu bila hiyo nafasi kuwepo, BoT sio shule au hospital kuwa ukifika utafanya majukum kama wengine waliopo, BoT kuna vitengo ambavyo watumishi wake wapo fixed, ila ikitokea kuna mtu katoka kwa sababu yoyote ile watatangaza nafasi au wanafanya internal transfer hapo ndio unaweza kuomba hiyo nafasi kama mtumishi mwenye sifa linganishi, au wanafanya kitu wenyewe mnaita re categorization.Habari, Mimi ni Auditor katika ofisi ya CAG, naomba kufahamu utaratibu mzuri wa kuhamia BOT.
Asanteni