Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,908
Nimeuliza kwa faida ya mtu mwingine ambae amekuja kuniuliza akidhani najua kila kitu.
Je, kwa watumishi au mtumishi wa umma ambae anafanya kazi shirika au taasisi ya umma inayojitegemea akitaka kuhamia taasisi nyingine anafuata utaratibu upi?
Kwenye mtandao au kwenye tovuti ya utumishi inaongelea tu watumishi walioko tamisemi, kwa mkurugenzi wa halmashauri, katibu tawala ambao hawahusiki na utumishi kwenye mashirika au taasisi za umma.
Mfano mtu alieko NSSSF anataka kuhamia SUMATRA (latra) ama alieko nhif anataka kuhamia udsm.
Watu kama hao wanatakiaa kufuata utaratubu gani?
Natanguliza shukrani kwa majibu yenu.
Je, kwa watumishi au mtumishi wa umma ambae anafanya kazi shirika au taasisi ya umma inayojitegemea akitaka kuhamia taasisi nyingine anafuata utaratibu upi?
Kwenye mtandao au kwenye tovuti ya utumishi inaongelea tu watumishi walioko tamisemi, kwa mkurugenzi wa halmashauri, katibu tawala ambao hawahusiki na utumishi kwenye mashirika au taasisi za umma.
Mfano mtu alieko NSSSF anataka kuhamia SUMATRA (latra) ama alieko nhif anataka kuhamia udsm.
Watu kama hao wanatakiaa kufuata utaratubu gani?
Natanguliza shukrani kwa majibu yenu.