zama za kampuni ziliishaisha mkuu sasa ivi halmashauri zinaajiri wafanyakazi wa muda kwa ajili ya kuusanya mapato zenyewe na mshahara hauvuki 250,000 na haupungui 200,000
enzi za jk ndio tenda zilikua zinapewa kampuni binafsi kama tenda za vyoo, maegesho, masoko na nk ila alivyokuja jiwe wakaona wanaibiwa wakawa wanakusanya wenyewe halmashauri mkuu