benwise
Member
- Oct 24, 2015
- 98
- 71
Najua humu jukwani kuna kila aina ya watu toka katika sekta zote, ninaamini hata hili nitajibiwa kikamilifu.
Napenda kujua zile nafasi mbalimbali za vibarua zinazotangazwa na halmashauri za miji mfano kinondoni,tabora nk,hasa vibarua wanaopewa mashine kwa ajili ya ukusanyaji mapato kwenye masoko.
Je, mikataba ya zile ajira ni ya kudumu au muda gani? Na mishahara ni viwango vipi na inalipwaje?Je, mshahara unatoka serikali kuu au ndani ya halmashauri husika?
Naamini wahusika wapo wengi humu naomba watusaidie kutuelewesha vizuri
Napenda kujua zile nafasi mbalimbali za vibarua zinazotangazwa na halmashauri za miji mfano kinondoni,tabora nk,hasa vibarua wanaopewa mashine kwa ajili ya ukusanyaji mapato kwenye masoko.
Je, mikataba ya zile ajira ni ya kudumu au muda gani? Na mishahara ni viwango vipi na inalipwaje?Je, mshahara unatoka serikali kuu au ndani ya halmashauri husika?
Naamini wahusika wapo wengi humu naomba watusaidie kutuelewesha vizuri