peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,029
- 26,231
Kuna utaratibu uliletwa huko Tanzania fedha za miradi ya maendeleo kugawanywa na serikali kupitia majimbo mfano fedha za IMF 1.3 trilion, fedha za Tarura.
Majimbo mengine yanabidadi ndogo ya wakazi, majimbo mengine yako mbele kimaendeleo kuliko mengine, na kutumia mfumu huu usimamizi wa fedha za miradi inasimamiwa kisiasa na wabunge wa majimbo.
Ambapo wizara husika inakuwa observer wa miradi. Mfano Fedha zilizotolewa Tarura kujenga barabara za vijijini, wabunge wamekwenda kwa mameneja wa Tarura na Confidential letter za kuwataka wajenge barabara moja tu kwa kiwango cha lami ili kuja kuonyesha wananchi wakati wa uchaguzi. Mfumo huu ni mfumo usiofaa.
Ninaishauri serikali ya Tanzania kuupokea ushauri alioutoa Spika wa Bunge kuhusu ugawaji wa fedha za miradi ya maendeleo.
Majimbo mengine yanabidadi ndogo ya wakazi, majimbo mengine yako mbele kimaendeleo kuliko mengine, na kutumia mfumu huu usimamizi wa fedha za miradi inasimamiwa kisiasa na wabunge wa majimbo.
Ambapo wizara husika inakuwa observer wa miradi. Mfano Fedha zilizotolewa Tarura kujenga barabara za vijijini, wabunge wamekwenda kwa mameneja wa Tarura na Confidential letter za kuwataka wajenge barabara moja tu kwa kiwango cha lami ili kuja kuonyesha wananchi wakati wa uchaguzi. Mfumo huu ni mfumo usiofaa.
Ninaishauri serikali ya Tanzania kuupokea ushauri alioutoa Spika wa Bunge kuhusu ugawaji wa fedha za miradi ya maendeleo.