mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Baada ya kutolewa majina kwa ajili ya usaili leo ya ma kostebo na ma koplo na majina yao kuwekwa na namba za simu matapeli wameanza kupiga simu na kuomba uwepe chochote akusaidie ufaulu usahili huo.
Mi nimepigiwa simu tano tofauti zikiniomba nitume pesa napate kushinda usaili. Kuweni makini vijana wote mliobahatika kuitwa kwenye usaili kwani idara haina utaratibu wa kupiga simu kabisa.
Wazee wa fursa noma.
Mi nimepigiwa simu tano tofauti zikiniomba nitume pesa napate kushinda usaili. Kuweni makini vijana wote mliobahatika kuitwa kwenye usaili kwani idara haina utaratibu wa kupiga simu kabisa.
Wazee wa fursa noma.