rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,495
- 41,919
Hakuna kitu kinakera kwenye Maisha kama Kijana kutumia ujuzi mdogo ulionao kwenye Jambo fulani KUTAPELIII vijana wenzako wanaotafuta pesa zao kwa jasho au pengine kupewa na familia zao..!! Kuna kijana ameweka tangazo kuwa anatoa elimu ya Kuweza kukuza 120000 kwa mwezi izae Mil 100, alafu vijana wachache wasiojielewa wanamsupport utapeli anaofanyaa...!!
Huyu ONTARIO utapeli wa forex haukutosha sasa ameamua aje kutapeli vijana live bila chenga.. Kama una huo ujuzi kwa nini wewe usikuze hiyo 120000 ikazaa mil 100 kuliko kuanza kupambana kushika chaki kufundisha utumbo vijana wa watu??? Kuwa na huruma japo kidogo usitumia kielimu kidogo ulichonacho kuumiza vijana wenzio.
Hakuna mtu with Great Mind na Smart ambae anaishi kwa Utapeli na kuibia watu kisa tu hawana elimu juu ya utapeli wa ainaa hii.
Povu Ruksa.
Huyu ONTARIO utapeli wa forex haukutosha sasa ameamua aje kutapeli vijana live bila chenga.. Kama una huo ujuzi kwa nini wewe usikuze hiyo 120000 ikazaa mil 100 kuliko kuanza kupambana kushika chaki kufundisha utumbo vijana wa watu??? Kuwa na huruma japo kidogo usitumia kielimu kidogo ulichonacho kuumiza vijana wenzio.
Hakuna mtu with Great Mind na Smart ambae anaishi kwa Utapeli na kuibia watu kisa tu hawana elimu juu ya utapeli wa ainaa hii.
Povu Ruksa.