Dj mat
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 747
- 476
Ndugu wana Jf,
Wasalaam!
Wiki mbili zilizopita kuna wateja wawili (mbongo na mzungu) walikuja dukani kwangu mda wa saa mbili na nusu usiku.Wakiwa ndani walivutiwa na microwave na Oven zilizokuwepo dukani.Wakakubaliana bei na dogo aliyekuwepo dukani siku hiyo zote kwa pamoja Tsh 560,000.
Wkt wote wa majadiliano kati ya dogo na mbongo yule mzungu alikuwa anajifanya ana haraka sna na alimtaka jamaa yke aliyefuatana nae amalizane na dogo yy alipe waondoke.
Mbongo akamwambia dogo bei waliyokubaliana afanye Tsh 600,000 kisha amtumie pesa iliyozidi kwa mpesa.
Baada ya mzungu kuambiwa bei akasema atalipa kwa foreign currency [] coz hakuwa na Tsh.
Baada ya dogo kucheck ex rate akalipwa 300 jamaa wakachukua mzigo wao wakasepa hata risiti walikataa.
Dogo aliponiletea hesabu ya siku na kushika zile foregn currency mara moja nilitambua ni FEKI,hata baada ya kuzihakiki tena kwenye machine kesho yke zilitemwa nikajua tayari nimeshapigwa.
Angalizo:
Sio kila mtu anayekuja dukani/kwenye biashara yko ni raia mwema.Wengine ni matapeli tu haijalishi kama ni mzungu,mchina,mbongo e.t.c.nawasihi muwe waangalifu msije pigwa kama mm.
Wasalaam!
Wiki mbili zilizopita kuna wateja wawili (mbongo na mzungu) walikuja dukani kwangu mda wa saa mbili na nusu usiku.Wakiwa ndani walivutiwa na microwave na Oven zilizokuwepo dukani.Wakakubaliana bei na dogo aliyekuwepo dukani siku hiyo zote kwa pamoja Tsh 560,000.
Wkt wote wa majadiliano kati ya dogo na mbongo yule mzungu alikuwa anajifanya ana haraka sna na alimtaka jamaa yke aliyefuatana nae amalizane na dogo yy alipe waondoke.
Mbongo akamwambia dogo bei waliyokubaliana afanye Tsh 600,000 kisha amtumie pesa iliyozidi kwa mpesa.
Baada ya mzungu kuambiwa bei akasema atalipa kwa foreign currency [] coz hakuwa na Tsh.
Baada ya dogo kucheck ex rate akalipwa 300 jamaa wakachukua mzigo wao wakasepa hata risiti walikataa.
Dogo aliponiletea hesabu ya siku na kushika zile foregn currency mara moja nilitambua ni FEKI,hata baada ya kuzihakiki tena kwenye machine kesho yke zilitemwa nikajua tayari nimeshapigwa.
Angalizo:
Sio kila mtu anayekuja dukani/kwenye biashara yko ni raia mwema.Wengine ni matapeli tu haijalishi kama ni mzungu,mchina,mbongo e.t.c.nawasihi muwe waangalifu msije pigwa kama mm.