TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,899
- 11,292
Mkuu, jukumu la usalama wako linaanzia kwako mwenyewe... lazma na wewe uende polisi, inawezekana kabisa polisi wanfanya kazi yao ila wewe hujui bali uko kwenye surveillance tu hadi hao jamaa watakapokusogelea
kingine muhimu ni kwamba umeanika sana kiasi kwamba wanaweza kukuharibia
Pole sana Msanii na nina imani hili ni jambo dogo na utapata seurity na safety ya kutosha, amini nikuambiayo
kingine muhimu ni kwamba umeanika sana kiasi kwamba wanaweza kukuharibia
Pole sana Msanii na nina imani hili ni jambo dogo na utapata seurity na safety ya kutosha, amini nikuambiayo