Utanioa?

Ni vigumu kwa mtu muongo kuuona ukweli, kwa kuwa wao wamezoea kudanganya na ndio maana inakuwa ni vigumu kwao kuuona uongo hata ule mweupe.

Ushauri: wanasema , ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo, kama mwanamke anataka kuolewa hana sababu ya kuuliza juu ya jambo hilo, ni kuboresha tu uhusiano, na mwanaume atajipeleka mwenyewe kutoa posa.........

Uko juu mkuu!
 
gia zipo nyingi ww mfn.1.gia ya chips kavu2.gia ya sausage3.gia ya baga ( especialy za bojou Moroco)4.gia ya blackbry (ata kama mchina)etc.
kwa wanafunzi ukitumia hizi unampaka kiulainii! lakini kwa mdada mwenye 30's hebu jaribu uone!
 
gia zipo nyingi ww mfn.1.gia ya chips kavu2.gia ya sausage3.gia ya baga ( especialy za bojou moroco)4.gia ya blackbry (ata kama mchina)etc.
\

kwa mantiki hiyo wewe unapenda mtu akuanze na gia ya kukuhonga, inaelekea wewe unapenda kuhongwa na unaamini kuhongwa ndio kupendwa, dah we wa ajabu kweli i might gues we ni materialist girl if am not mistaken. Pole lol!
 
kwa wanafunzi ukitumia hizi unampaka kiulainii! Lakini kwa mdada mwenye 30's hebu jaribu uone!
kabisa mkuu! Hiyo gia labda uitumie kwa hawa hakielimu, tena o level sio a level, manake hiyo hatauitumie kwa watoto wa uswahilini bado wengine wanaruka kamba na hung'oi mtu hapo
 
mambo yamebadilika siku hizi wasichana pia nao wamejua kuwa wavulana ni waongo hivyo ukija na gia za ndoa wanajua tu kuwa huo ni uzushi
 
mambo yamebadilika siku hizi wasichana pia nao wamejua kuwa wavulana ni waongo hivyo ukija na gia za ndoa wanajua tu kuwa huo ni uzushi

wanaume huwa tunaanza kwa kuonyesha kujali mwanamke ndo anataka utangaze ndoa ...
 
Mara nyingi ukimtaka msichana kimahusiano ya kimapenzi huuliza UTANIOA au unataka kunichezea tu? kwa mfano msichana kama huyo ukimwambia ndiyo nitakuoa halafu ukishamaliza mambo yako ukasepa,kunamadhara gani katika future yako?
Hiyo style ya kutangaza ndoa wakati wa kutongoza ishapitwa na wakati, na nyie wakaka asipende kucheza na hisia za watu hasa wale ambao hajajua janja zenu za kutaka kuchezea na kusepa.
 
Kinadada wengi waliomo humu nadhani wameenda age kiasi chake (Kumradhi msinitupie mawe). Na wengi wa dizaini hii wameshaumizwa kwenye mapenzi. Asikwambie mtu huko kitaa hiyo gia ndiyo mpango mzima yaani ni kama uaokota vile.
 
[/COLOR]

ahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa!..madhara ni mengi lakn kubwa zaidi ni kuwa utaonekana ni muongo_sijaona tatizo kwani amekuambia umuambie moja kati ya hayo mawili aliyo kuuliza..ni bora umwambie tu kwamba unamchezea kama hauna mpango wa kumuoa...au wakuu mnasemaje?
Hapo Kwenye red ndo pananitia utata. Yeye ndo anachezewa wewe huchezewi???
 
Kumbe wee bado eheeeeee, ngoja nianze kutafuta gear, sijui nianze kwa kufunga? ngoja kwanza, bado sijapata TemboCardMasterCard ila pia sifakubwa ni kwamba mimi si shabiki wa "siasa uchwara"

haaaaaaa! Usikute mimi ni kibibi nishapewa talaka mara 3. Shauri yako.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom