Utamu wenye maumivu

Utamu wenye maumivu

Haya ndiyo mnayo yataka.
Ila kwa kawaida anaweza akawa hana hata hiyo H.I.V, maana nasikia sikia wakisema walau upime mara tatu, mara zote hizo ukikutwa na umeme, hapo ndiyo uhakika kuwa upo Gridi ya taifa.
ila kwakua ndiyo mara ya kwanza anaenda kucheki afya, siyo mbaya, aende tena na tena (nadhani anapaswa aende kupima tena baada ya miezi mitatu)
Niseme tu, mimi siamini katika ukimwi, naamini sana kuna magonjwa mengi ya zinaa, ila siyo ukimwi,
na ukiona binti amekuwa mzigo kwako, uje PM Uniunganishe naye.
My take; MNAOENDA KUPIMA UKIMWI, MNACHOKITAFUTA HUKO KWENYE KUPIMA, NAWAAMBIA LAZIMA MTAKIPATA.
Watapata nini na kwa maelezo yako hakuna ukimwi
 
Hiyo ni moja ya mbinu ya mtu kutekeleza mauaji. Ila siyo mbinu pekee ya mtu kutekeleza mauaji.
Wewe bado mtoto mdogo, hujui usemalo. Hivi unajua kuwa ikitokea mkamuudhi huyo binti inakuwa rahisi kwake kumalizia hasira kwa watoto? Tena kwa kuwaambukiza kwa makusudi ili kukomoa kwa kutumia mfano miswaki au kama ni kitoto cha kiume kukilazimisha kufanya mapenzi? Hujawi kusikia visa kama hivyo???
 
Michango ya WADAU ndio iliyonileta hapa
 
Hiyo ni moja ya mbinu ya mtu kutekeleza mauaji. Ila siyo mbinu pekee ya mtu kutekeleza mauaji.
Kwa hiyo uko tayari kuchukua hiyo risk? Mimi nakwambia huko kujifanya una huruma hujawahi kuishi na mabinti wa kazi. Kuna tatizo gani nikigundua anaumwa nikamrejesha kwao kuepuka madhara kwangu? Kwani hivyo nikumyanyapaa?
 
Hakuna tatizo. Maana kutoa msaada huwa ni uamzi wa mtu. Unaweza toa msaada ukakumaliza ama ukavuna mema. Kuwa makini ni jambo zuri maana huruma ikizidi huleta madhara pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom