The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
Wakuu salaam !
Mwaka 2011-2013 katika vita zangu za kusaka bingo nili hit the right target nikapiga pesa mingi ya udalali wa mbao nlipata tajiri akaniamini nkawa najilia kapercent taratibu ,Huko nyuma mahusiano yaliniprove kwa njia mbalimbali kuwa mapenzi ya kweli sio fungu langu na last time mchumba wangu toka chuo baada ya kunipa pressure ya kutosha nimuoe wakati tunaish geto ye ana kazi mi sina akapata bwana mpya hadi kikao cha pili anatokea kwangu kwenda vikao vya kubebwa na jamaa kujua nikahama ubungo kwa aibu kuu na kukimbilia tabata kinyerezi .
Basi nikajikita kwenye ulevi wa viloba wa kutupwa ndipo kuna bro akanielewa akaniunga na kampuni yake ya clearing ,huko nikakutana na huyo tajiri wa iringa ,Ndugu JAMANI WANAUME TAFUTENI HELA.Nilihamia apartment moja kali knyama huku nasimamisha mijengo miwili kwa mkupuo ,totoz zilikuwa so royal yaani kupendewa hela raha sana no hard feelings .
Nakumbuka enzi hizo nikiona totoz kali barabarani namsalimu kwa heshima kisha nilikuwa na ka -fake business card kanakoonyesha mimi ni CEO na elfu ishirini kisha nasema ya vocha utanipigia akijitusu akapiga namuita kibla eneolenye bar nje lodge ndani na humwambia chukua tax akifika nakapa kilo nakaambia pocket money ,baada ya hapo napewa utamu wa mabo ya bara. Skuwa nabadili miezi miwili nampamtoto bata la mwaka shopping za mil moja huwa ni lazima wiki ya kwanza guys I was 100 % this is not love but it almost felt like it.
Ila baada ya game nilikuwa nafeel so lonely nashindwa zile za kukumbatiana na mtu ambaye nauhakika hanipendi najifanya kuangalia tv navizia alale ndo narudi nikisha ona anaanza kama swaga za kufall namuwekea parachute a-fall salama nasepa maana utamu wa mapenzi ya kondomu haujai kiivyo,nilikuwa na namba maalumu kwa ajili yao nikishaenda kazini nazima kupatikana jion tena ka sms natuma '' njoo chaga bite na rafiki yako'' ni bia bia mikasi napita hivi
Kwa muda huu wote sikuwahi kuumizwa wala kuumiza ,sikuwahi penda wala pendwa naIita ''LOVE HOLIDAY'' KAZI ikaisha nikahamia kwangu kwa msaada wa ushauri wa mabro wa mtaani na wazazi nikatafuta katoto kamoja nyakanga kamemzidi somo na kungwi (hodari by mbosso ) nkajituliza with caution .
Kimsingi I Cherish that moment and i will memorize for the rest of my life ,it was real a wild way but yap it was experience.
NB: Mimi si mkristo wala muislamu so sina kitabu nachoki obey so hayo mambo ya wazungu na waarabu nisisikie .
Mwaka 2011-2013 katika vita zangu za kusaka bingo nili hit the right target nikapiga pesa mingi ya udalali wa mbao nlipata tajiri akaniamini nkawa najilia kapercent taratibu ,Huko nyuma mahusiano yaliniprove kwa njia mbalimbali kuwa mapenzi ya kweli sio fungu langu na last time mchumba wangu toka chuo baada ya kunipa pressure ya kutosha nimuoe wakati tunaish geto ye ana kazi mi sina akapata bwana mpya hadi kikao cha pili anatokea kwangu kwenda vikao vya kubebwa na jamaa kujua nikahama ubungo kwa aibu kuu na kukimbilia tabata kinyerezi .
Basi nikajikita kwenye ulevi wa viloba wa kutupwa ndipo kuna bro akanielewa akaniunga na kampuni yake ya clearing ,huko nikakutana na huyo tajiri wa iringa ,Ndugu JAMANI WANAUME TAFUTENI HELA.Nilihamia apartment moja kali knyama huku nasimamisha mijengo miwili kwa mkupuo ,totoz zilikuwa so royal yaani kupendewa hela raha sana no hard feelings .
Nakumbuka enzi hizo nikiona totoz kali barabarani namsalimu kwa heshima kisha nilikuwa na ka -fake business card kanakoonyesha mimi ni CEO na elfu ishirini kisha nasema ya vocha utanipigia akijitusu akapiga namuita kibla eneolenye bar nje lodge ndani na humwambia chukua tax akifika nakapa kilo nakaambia pocket money ,baada ya hapo napewa utamu wa mabo ya bara. Skuwa nabadili miezi miwili nampamtoto bata la mwaka shopping za mil moja huwa ni lazima wiki ya kwanza guys I was 100 % this is not love but it almost felt like it.
Ila baada ya game nilikuwa nafeel so lonely nashindwa zile za kukumbatiana na mtu ambaye nauhakika hanipendi najifanya kuangalia tv navizia alale ndo narudi nikisha ona anaanza kama swaga za kufall namuwekea parachute a-fall salama nasepa maana utamu wa mapenzi ya kondomu haujai kiivyo,nilikuwa na namba maalumu kwa ajili yao nikishaenda kazini nazima kupatikana jion tena ka sms natuma '' njoo chaga bite na rafiki yako'' ni bia bia mikasi napita hivi
Kwa muda huu wote sikuwahi kuumizwa wala kuumiza ,sikuwahi penda wala pendwa naIita ''LOVE HOLIDAY'' KAZI ikaisha nikahamia kwangu kwa msaada wa ushauri wa mabro wa mtaani na wazazi nikatafuta katoto kamoja nyakanga kamemzidi somo na kungwi (hodari by mbosso ) nkajituliza with caution .
Kimsingi I Cherish that moment and i will memorize for the rest of my life ,it was real a wild way but yap it was experience.
NB: Mimi si mkristo wala muislamu so sina kitabu nachoki obey so hayo mambo ya wazungu na waarabu nisisikie .