Utamu wa maisha

Utamu wa maisha

Harvest

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
55
Reaction score
31
Utamu wa maisha ni pale unapojua kuwa unahitaji maisha ya aina fulani.

Japokuwa tunaumizana kila siku hiyo haipunguzi wingi wa harusi kila uchao kwenye majumba ya ibada na serikalini.

Nami leo nimeamua kuachana na kuwaza maumivu na kuamua kuingia kwenye ndoa.

Kama wewe mwanamke na unajua kabisa unahitaji ndoa hebu nitafute PM.

Mii niko Mwanza,kazi yangu ni ya kawaida tu,tutaongea zaidi ukinitafuta.

Umri wangu ni zaidi miaka 30 yaani niko above 30.

Aina ya mwanamke ninaemhitaji ningependa sana awe na miaka zaidi ya 27 na kuendelea na zaidi sana zaidi ya 30 ndio itakuwa poa na hao ndio nitawapa kipaumbele.

Kimsingi mwanamke ambae ana umri mkubwa ndio ambae anaweza kujua umuhimu wa hii kitu japokuwa hata wadogo wapo lakini ni wachache.

Hebu fanya unitafute tuongee mambo ya msingi ya ndoa tafadhali.

Ni PM tafadhali
 
Hii thread ya love connect imekuwaje ipo MMU
 
Karibu sana kiongozi, sisi tulikutana humu humu tukaoana. sasa hivi ni wazazi tunalea familia
 
Mkuu Eiyer kule MMU unakondoo wengi sana waohitaji mchungaji naomba utumie nafasi yako kama baba paroko kuwezesha huyu kijana kupata kondoo mmoja embu nakuomba uwa-mention hapa labda jamaa yetu ataonewa huruma.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom