Utamu wa chips mayai

whitehorse

JF-Expert Member
Aug 29, 2009
2,565
4,426
c363970a05838cf98fdd695605900926.jpg
fd7e484d76a7551ed46900bb60efae41.jpg


UTAMU WA CHIPS MAYAI.

Kwa wanawake : kunenepeana na kujaza mafuta kila sehemu ya mwili na hata Kwenye mirija ya uzazi na kuleta madhara mengi ikiwemo pia mauvimbe na mengineyo mengi

wanawake wajawazito wanaokula chips mayai kupitiliza hukabiliwa na kuongezeka uzito ghafla hali inayopelekea moyo kutofanya kazi yake vizuri na kusababisha kupanda Kwa pressure ovyo ovyo

Mama mjamzito anayekula chips mayai Kwa uroho uliopondukia hukabiliwa na upungufu mkubwa wa damu kipindi chote cha ujauzito hali hii ni hatarishi haswa wakati wa kujifungua

Chips mayai hupelekea mtoto kuzaliwa na uzito mkubwa uliojaa upungufu mkubwa wa madini kibao yanayoathiri ukuaji wa mtoto huyo Kwa sababu unene wa mtoto huyo umesababishwa na chips mayai tu

Wanawake pia wanapoendekeza chips mayai huwa na matumbo makubwa yaliyojaa mafuta na hivyo kupoteza kabisa shepu zao na kuonekana Kama masanamu ya michelini


Kwa wanaume sasa hapa Ndio balaa

Wanaume hunenepeana ghafla jamii ililoyowazuguka wanadhani maisha na afya bora imewakubali kumbe mafuta yamejaa kila kona ya mwili

Wanaume wanaokula chips mayai Huwa Ni wazembe Sana kitandani hata Kama hawajanenepena huwa Ni wavivu kutoa huduma hii na huchoka mara moja hawaendi zaidi ya round moja Kwa anayekwenda round mbili basi huwa Ni baada ya mapumziko marefu Sana . Hali inayowafanya wenzi wao kuachwa na Kiu kali

Wanaume wanaokula Sana chips mayai hukabiliwa na upungufu mkubwa wa mbegu za kiume na Mara nyingi huwa wanakuwa na Shida ya kuwapa mimba wenzi wao na pia inasemekana ulaji wa chips mayai kupitiliza huathiri utengenezaji wa mbegu bora za kiume kule kiwandani na nyingi hata zikitengenezwa hukosa mikia na zenye mikia hukabiliwa na uvivu wa kukimbia huwa legevu zilizojaa uvivu uvivu na zinapoingia Kwenye mbio ya kulitafuta yai huishia njiani na kutofika kabisa Kwenye yai

Wanaume wanaopendelea kula chips mayai wanasemekana hutoa shahawa nyepesi mno Kama maji tu hata wakati mwingine hudhaniwa wamekojoa mkojo wa kawaida pindi wanapofika kutua ule mzigo wa kiunoni

Wanaume wanaopendelea zaidi chips mayai hunenepeana na kuwa na vitambi hali inayopelekea dyudyu zao kuwa ndogo mithili ya bamia


Wanaume wanaokula zaidi chips mayai huwa Ni wavivu wa kufanya mazoezi ya aina yoyote ile na Mara nyingi wao hupenda kuwa watazamaji tu na wengine hata kushangilia huwa hawashangilii Kwa sababu muda mwingi huwa wanakabaliwa na msongo wa mawazo Kwa hayo matatizo yaliyotajwa huko juu

Mwisho kabisa Wanaume wanaopendelea chips mayai wamekosa bahati ya kuona uume wao Mara Kwa mara Kwa Sababu ya matumbo Yao kuwa makubwa (vitambi) na uume kuwa Mdogo zaidi hivyo kupotea kabisa Kwenye upeo wa macho Yao


UTAMU WA CHIPS MAYAI NDIO HUU
 
chipsi yai ni janga kwa taifa. nashangaa watanzania wako bize kuadhimisha siku ya chipsi yai.
 
Kwa kweli ni aibu kwa waafrika kushabikia vyakula vya namna hii
Na ivi tulivyo mashabiki maandazi!
 
Watanzania aliyewaloga alikuwa uchi na kaisha fariki leo nadhani utamu wa chipsi mumeuona taifa shenzi typee poor watz..!

Afu eti clouds wanafanya promo ya siku ya chips washenzi kweli wanaume mtazidi kuwa bwabwa nyie..!
 
Msiwasingizie clouds wao wmeonyesha maisha ya Watanzania wengi... Huo ndo ukweli chips zinalika sana mitaani.. Tuwaachie watu maisha yao kwanini umpangie mtu namna ya kuishi
 
Back
Top Bottom