Utamshtuaje mtu aliyesahau kufunga zipu?

Utamshtuaje mtu aliyesahau kufunga zipu?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Tumeseme Lecturer,Pastor au MC,yupo mbele ya watu wengi na kasahau kufunga zipu.

Utamsaidiaje?
 
Mchungaji angalia kuna mdudu hapo kwenye zipu yako
 
unamwambia tu,ila itategemea na umri wa hiyo mtu..
 
Mbona tulipokuwa chuo tulikuwa tunawaambia madada wa kutoka shamba walioamua kuendana na wakati kwa kuvamia.
Kwa vile si kawaida yake kuvaa suruali siku za mwanzo wengi wanasahau kufunga zipu.
 
Mbona tulipokuwa chuo tulikuwa tunawaambia madada wa kutoka shamba walioamua kuendana na wakati kwa kuvamia.
Kwa vile si kawaida yake kuvaa suruali siku za mwanzo wengi wanasahau kufunga zipu.
Kwa mfano unaweza kumwambia lecturer anayefundisha mbele ya darasa?
 
Unamuita pembeni unamwambia!so what kama yupo mbele za watu umempunguzia aibu!
 
simwambii maana huwa tunaacha upepo upunguze joto na hasira
 
Mambo mengine haya yanataka hekima ya hali ya juu
unatoka na kumvutia nje kisha unamwambia inakuwa ni aibu yake peke yake
tumeseme lecturer,pastor au mc,yupo mbele ya watu wengi na kasahau kufunga zipu.

Utamsaidiaje?
 
naandika kinote nampa ka ni lecture

Ilitokea kwenye hall jamaa akamfuata pale mbele akawa na yeye anajifanya hasikii,jamaa ikibadili amwonyeshee kwa vitendo kwamba hujafunga zipu,haikuwa siri tena kila mtu kichwa chini na ukimwangalia mzee wa watu na heshima zake
 
"MC funga zipu" Huo ndio msaada pekee kwa mc ambae kasahau kufunga zipu.

Kwa mchungaji... Roho mtakatifu atamweleza na utashangaa ghafla mambo yamekaa sawa.
 
Namwangalia tukigongana macho nafanya kama nafunga zipu kwangu
 
Back
Top Bottom