Utamjuaje mtoto wa kusingiziwa

Utamjuaje mtoto wa kusingiziwa

nenda kafanye vipimo vya DNA...lakini huwezi kufanya Ww kama wewe bila barua kutoka katika taasisi either MAHAKAMA,WAKILI, au USTAWI
hawa wanakuandikia barua ndio utaambatanisha kwa Mkemia na kufanyiwa vipimo
 
Wanawake wana siri kubwa na nzito kwa habari hii ni kumwachia Mungu tu.
 
Wanaume bana.......bado hamjazijua akili zetu...... Bado sana.......kwa taarifa yako.....hakuna mtoto anaefanana na baba yake kama mtoto haramu...yaani asie wako ndo mtafanana sana yani kilakitu na mtapendana sana.....naongea kwa ujasiri na ushahidi nnao.
 
Wanaume bana.......bado hamjazijua akili zetu...... Bado sana.......kwa taarifa yako.....hakuna mtoto anaefanana na baba yake kama mtoto haramu...yaani asie wako ndo mtafanana sana yani kilakitu na mtapendana sana.....naongea kwa ujasiri na ushahidi nnao.
Acha kudanganya wenzako waingie mkenge... Mtoto haramu ndo anafanana na jamaa huyo, utakua unaon aibu nafsini kila ukimuangalia.. Hiyo case yako labda ni wa jamaa kweli.. Science haidanganyi
 
Hii inaapply pale ambapo mtoto afani na ww sura... Kama anafanana sura au parts zingine co rahisi mistari ya mikono kifanana... Me nimetisha hii kwani nina watoto wangu wawili atufanano kabsa sura lkn mistari ya mikono yote tunafanana... So hapo na uhakika 100% they are my kids
Angalia mikono yake ile mistari iliyokatiza kwenye mkono either wa kulia ama wa kushoto
kwa mtt wako lazma ifanane na ww kama haifanani umepigwa mzee
hiyo ni DNA YA wazee wetu niliipata chimbo
 
Kuna njia ya kutambua kama mtoto siyo wake...

Kamata fimbo na mtishie kwa jazba kwamba utamtandika haswa mpaka ajute... akitoka nduki na kukimbilia nje ujue huyo siyo mtoto wako...

Akiendelea kubaki hap hapo hata kama analia na kugalagala ila hakimbii popote ujue huyo ni mwanao...


Note: Za kuambiwa chang'anya na za kwako...



Cc: mahondaw
 
Anzisha ugomvi na mkeo mtukane matusi mwambie we in gogo tu kitandani, kama mtoto si
wako utamsikia tu ataropoka kuwa we mwenyewe hamna kitu nakuvumilia tu kwanza ata flani so mtoto wako

kinachofanyika hapo unakuwa umemtoa kwenye conscious mind ,umemfanyia confrontation Ku uncover the truth.

kuwa makini because the method is very destructive
 
Kwa hiyo ni ngumu sana mkuu

Haya mambo si yakufuatilia sana. aukifuatilia sana utakufa kabla ya wakati, kwa ajili ya ugumu wake ndiyo maana walisema kitanda hakiza haramu.
Wazee wetu walijua hilo, na ndiyo maana kipindi cha nyuma ulikuwa husikii haya mambo ya mtoto wa njehata kama alikuwa ananfanana kiasi gani . Si kwamba walikuwa hawajui, ila kwa sababu ya kutunza heshima ya mwenzako, walikuwa wanayamaza kimya.
Sisi tunaojifanya kustaarabika ndiyo maana ndoa nyingi zinavunjika kwa sabau ya kuto kuaminiana
 
Kuna njia ya kutambua kama mtoto siyo wake...

Kamata fimbo na mtishie kwa jazba kwamba utamtandika haswa mpaka ajute... akitoka nduki na kukimbilia nje ujue huyo siyo mtoto wako...

Akiendelea kubaki hap hapo hata kama analia na kugalagala ila hakimbii popote ujue huyo ni mwanao...


Note: Za kuambiwa chang'anya na za kwako...



Cc: mahondaw

Mbaya zaidi akikimbilia nyumba ya jirani, hapo ndipo utadhibitisha kabisa kuwa Babake ni yupi.
 
Kwa asili ya familia yetu mwanamke akijifungua huwa tunampa likizo ya kwenda kwao ziara fupi kama wiki moja pasipokujua kama tunampima

Kama mtoto ni damu yetu hawez kukaa kwa bibi yake kizaa mama hata siku 3 atawasumbua sana usiku atashinda analia na wakilazimisha anapata hata ugonjwa wa degedege ila siku wakipanga siku ya kurud anapona na mda wapo njian kurud anakuwa sawa...ila kama si wa nyumban akifika hutulia tu! Hii ni kweli ila sio applicable kwa kila mtu
 
Kwa mwanaume ni kufanana aisee, tuache siasa mtoto kama hujafanana nae kwa chochote huyo sio wako 99%
 
Kwa asili ya familia yetu mwanamke akijifungua huwa tunampa likizo ya kwenda kwao ziara fupi kama wiki moja pasipokujua kama tunampima

Kama mtoto ni damu yetu hawez kukaa kwa bibi yake kizaa mama hata siku 3 atawasumbua sana usiku atashinda analia na wakilazimisha anapata hata ugonjwa wa degedege ila siku wakipanga siku ya kurud anapona na mda wapo njian kurud anakuwa sawa...ila kama si wa nyumban akifika hutulia tu! Hii ni kweli ila sio applicable kwa kila mtu
Daaaaaaaaa kumbe Mimi mtoto wa baba 100% ,mama yangu aliyapitia haya
 
Back
Top Bottom