Utamjuaje mtoto wa kusingiziwa

Utamjuaje mtoto wa kusingiziwa

Kila koo/familia huwa na vitu ambavyo ni vya kurithi kimaumbile. Wahusika huvijua japo mtu wa nje hawezi viona. Mf. Kucha, vidole, maumbile ya uzazi na vinginevyo. Kwa hiyo kila kinachoitwa "damu yao" huwa na hiyo/hizo feature.
Huku mikoani ndo zinatumika hizo. Mashangazi na mabibi wapo vizuri kwenye hilo. Huweza kujifanya wanaenda kumsabahi alojifungua kumbe wanacheck DNA. Na huwa hakuna kukosea katika hilo.
Kama mwana hana hivyo vitu basi si wako
 
Kila koo/familia huwa na vitu ambavyo ni vya kurithi kimaumbile. Wahusika huvijua japo mtu wa nje hawezi viona. Mf. Kucha, vidole, maumbile ya uzazi na vinginevyo. Kwa hiyo kila kinachoitwa "damu yao" huwa na hiyo/hizo feature.
Huku mikoani ndo zinatumika hizo. Mashangazi na mabibi wapo vizuri kwenye hilo. Huweza kujifanya wanaenda kumsabahi alojifungua kumbe wanacheck DNA. Na huwa hakuna kukosea katika hilo.
Kama mwana hana hivyo vitu basi si wako
Kuna bibi mmoja kazi yake kukagua nyuchi watoto zimekaaje,akimaliza utasikia "huyu wetu"
 
Mkuu hiyo ndo changamoto, we ushaambiwa mtoto ni wako, hina haja ya kuhoji zaidi amini ni wako hata kama hafanani, ila mwambie mkeo anyamaze milele ama la sivyo akipanua tennga utamnyamazisha kwa nguvu
 
Ukitoa Vipimo vya DNA ni kwa jinsi gani unaweza kutambua kwamba mtoto huyu siyo wako umesingiziwa au kwa kiswahili wanasema umepigwa ?

Couze kuna chalii sina imani nae wakuu.
Nenda kapime DNA halafu mtoto ambaye sio wako ukimshika analia kila siku hana raha na wewe mtoto wako ukimshika hata kama hajakuzoea hali ovyo atalia kidogo tu akijua ni babae ananyamaza sasa ambaye si wako analia hakutaki kiufupi.
Mpaka anakua hakutaki mamake anamforce huyu ni baba kamsalimie .
Ila yeye hataki anajijua ni wa njee tu.
 
Back
Top Bottom