Utamjuaje mtoto wa kusingiziwa

Utamjuaje mtoto wa kusingiziwa

Mtoto asiye wakwako akipiga tu chafya mbele yako huku anakuangalia mbona ujajua tu jomba!
Ukitoa Vipimo vya DNA ni kwa jinsi gani unaweza kutambua kwamba mtoto huyu siyo wako umesingiziwa au kwa kiswahili wanasema umepigwa ?

Couze kuna chalii sina imani nae wakuu.
 
Mkuu kuna njia flani iliwahi letwa humu ya kumzungushia dushe utosini akiwa kalala, ila walitahadharisha kuwa kama si wako hatoamka ila kama ni wako basi ataamka(kwa kifupi sikushauri hili mana waweza ondoa kiumbe asiye na hatia na wew ukaishi maisha ya majuto maisha yako yote)
 
Haaaa haaaa Bibi anacheza keusi na kekundu
Ndo kazi yakemfano mtoto kazaliwa kwenye hiyo familia akipelekwa kwa uyo bibi,bibi anamfukunyua uchi weee akimaliza anatoa jibuIla hajawahi kusema huyu sio wetu
 
Mikunjo ya vidole vya mkono nyuma ya kiganja mara nyingi hua inafanana na yako hata akiwa wakike. Uhakika zaid ni DNA.
 
Niliogopa kuitaja direct ili aitafute na asome maoni ya watu ,ahsante Mkuu kwa kuikumbusha
Mkuu kuna njia flani iliwahi letwa humu ya kumzungushia dushe utosini akiwa kalala, ila walitahadharisha kuwa kama si wako hatoamka ila kama ni wako basi ataamka(kwa kifupi sikushauri hili mana waweza ondoa kiumbe asiye na hatia na wew ukaishi maisha ya majuto maisha yako yote)
 
Mkuu kuna njia flani iliwahi letwa humu ya kumzungushia dushe utosini akiwa kalala, ila walitahadharisha kuwa kama si wako hatoamka ila kama ni wako basi ataamka(kwa kifupi sikushauri hili mana waweza ondoa kiumbe asiye na hatia na wew ukaishi maisha ya majuto maisha yako yote)
Duh! Hatari
 
kama ufanani haupo,ni ngumu kumtambua zaidi ya vipimo;lakini mwisho wa siku mtoto ni mtoto tu lea bwana.
 
Andaa program moja kabambe ya manyanyaso kwa huyo dogo miez miwil mfululizo, lkn shart awe hajapata akili mana kama kana akili ni balaa huko ukubwan ... utaona reaction za mama na ukiziassess vzr utajua kama mtoto ni wako au laa
 
Akiwa mkubwa anakuwa ni mbishi sana,hakusikilizi unachomwambia....kwa sababu nguvu zako na za kwake zilizoko ndani zinatofautiana (kiroho)
 
Angalia mikono yake ile mistari iliyokatiza kwenye mkono either wa kulia ama wa kushoto
kwa mtt wako lazma ifanane na ww kama haifanani umepigwa mzee
hiyo ni DNA YA wazee wetu niliipata chimbo
 
Ukitoa Vipimo vya DNA ni kwa jinsi gani unaweza kutambua kwamba mtoto huyu siyo wako umesingiziwa au kwa kiswahili wanasema umepigwa ?

Couze kuna chalii sina imani nae wakuu.
Wazee wako ndo wanajua..kuna wengine kwao mtoto wa kwanza lazma awe wa kiume sasa akija wakike unajua umepigwa..wengine ukimsingizia mtoto amalizi mwaka anakufa hii nimeshuudia mm mwenyewe..kuna wanaoangalia vidole yaan kuna mengi sana ila wanaojua ni wazee wako mpe mtoto baba ako na mama wana majibu.. kama hawajui DNA itakuhusu mana kuna wazee wakisasa wa .com hawana uwezo wa kujua mtoto c ukoo wao.
 
Ukitoa Vipimo vya DNA ni kwa jinsi gani unaweza kutambua kwamba mtoto huyu siyo wako umesingiziwa au kwa kiswahili wanasema umepigwa ?

Couze kuna chalii sina imani nae wakuu.
Muwekee maji,mchele,korosho,panga,mtumbwi,nguruwe+bia, kanda za taarabu,maparaghe,zabibu, akichagua Panga ujue mullah tarme rorya akichagua maji na mtumbwi Zanzibar hyo na ukichek Hana kisogo.....
 
Unaweza angalia kucha za miguu na kichogo na pua na masikio lazma viendane na vyako hata kama sio jinsia yako
Ukitoa Vipimo vya DNA ni kwa jinsi gani unaweza kutambua kwamba mtoto huyu siyo wako umesingiziwa au kwa kiswahili wanasema umepigwa ?

Couze kuna chalii sina imani nae wakuu.
 
Back
Top Bottom