Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,791
Mtoto asiye wakwako akipiga tu chafya mbele yako huku anakuangalia mbona ujajua tu jomba!
Ukitoa Vipimo vya DNA ni kwa jinsi gani unaweza kutambua kwamba mtoto huyu siyo wako umesingiziwa au kwa kiswahili wanasema umepigwa ?
Couze kuna chalii sina imani nae wakuu.
mfano mtoto kazaliwa kwenye hiyo familia akipelekwa kwa uyo bibi,bibi anamfukunyua uchi weee akimaliza anatoa jibu
..Bila shaka akimcharaza bakora atakimbilia kwa mama yake.