Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,825
Mtoto asiye wakwako akipiga tu chafya mbele yako huku anakuangalia mbona ujajua tu jomba!
Ukitoa Vipimo vya DNA ni kwa jinsi gani unaweza kutambua kwamba mtoto huyu siyo wako umesingiziwa au kwa kiswahili wanasema umepigwa ?
Couze kuna chalii sina imani nae wakuu.