Utambulisho kwa wadau

Habarizenu wananzengo, mimini mgeni hapa kijijini JF. Naomba kupokelewa nanyi wakuu. Napenda mijadala ya Siasa, mambo ya kidini pamoja na michezo. Mimi ni shabiki wa Chelsea fc. Naombakuwasilisha.
we chama gani? ni mwanaume wa mkoani au mgogo?

tembelea forums zote ila soma kwanza pinnee post.

no matusi wala usimtaje jina mtu m hautakaa ukala ban.
 
Tunaomba kitambulisho ambatanisha na picha ya passport size πŸ€”
 
Asanteni woootemlionikaribisha, na hata kunirlrkeza pa kukaa na pia utaratibu wa kuishi hapa kijijini. Mubarikiwe!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…