Utamaduni wa kujisomea, kuelewa na siasa za Tanzania

kam kuna mtu ana kitabu cha the cashflow quadrant katika pdf format naomba aki weke hapa
 
The Principles of Successful Manifesting
 

Attachments

  • The Principles of Successful Manifesting.pdf
    358.7 KB · Views: 126
SIJASEMA VITABU HAVISAIDII VINASAIDIA ILA SIO KWA CODES NA CALCULATIONS ZA KUTOKA KATIKA NCHI YETU MKUU SIIJUI HII SENTENSI UMEIELEWA

USHAURI WANGU NI HUU ATOKEE MWANDISHI ALIYEKULIA KATIKA MAZINGIRA YA KITANZANIA / KIAFRICA AANDIKE SELF HELP BOOKS VINAVYOAKISI NA KUMLENGA MTANZANIA NA MAZINGIRA YAKE KWA UJUMLA ZIWE NA CONTENTS KAMA HIVYO VITABU VYA poor dad rich dad MFANO WAKO UNANIKUMBUSHA MWAKA 2010 NILIKUTANA NA DOGO MMOJA ALIYEMALIZA CHUO ALIKUWA ANATAKA KUANZISHA SOCIAL NETWORK TANZANIA NIKAMUULIZA UTAPATA WAPI PESA YA KUWA NA SERVER AKANIAMBIA ATATAFUTA INVESTORS POINT YAKE ILIKUWA APITE NJIA ZILE ZILE ALIZOPITA ZUCKERBERG NIKAMUULIZA KUWA UNAWAJUA MA VENTURE CAPITALIST WALIOPO TANZANIA ? DOGO AKAWA KIMYA NIKAMUULIZA HOW ABOUT ANGELS INVESTORS? DOGO AKAWA KIMYA NIKAMUELEZA KUWA ITS NOT POSSIBLE KWANI HII NCHI SIO U.S KUWA UTAPELEKA IDEA YAKO KWA WATU KAMA ACCEL PARTNERS WAKUPE FUNDS DOGO HAKUNIELEWA AKAENDELEA NA HARAKATI ZAKE....

MPAKA LEO YUPO YUPO TU.......

SO POINT YANGU NI HIVI HATA KAMA KANUNI ZA KUANZISHA KAMPUNI NA KUKUA ZINAFANANA KILA SEHEMU ILA KANUNI ZA KUANZISHA KAMPUNI NA KUKUA ZINATOFAUTIANA KILA SEHEMU

FIKIRIA SENTENSI HII THEN UTAELEWA NAONGELEA NINI


kaka uko sawa kabisa na point yako.
 
nami pia ni muumini wa vitabu vya aina hiyo japo kwa mwaka 2012 nilijipa likizo ya mwaka ili nipate muda wa kuimpliment nilichojifunzo. Its hard but its worthwhile. good work kiongozi
 
habari zenu, mm cna kabsa tabia ya kuxoma vtabu especially vya darasan, yaan nkshka ktabu nahc uvivu gafla, nfanyaje?
 
jipitishe maeneo ambayo kuna watu wanafanya kazi za suruba kv kuchanganya zege, kuchoma mkaa, wapia debe, wabeba maguni aina ya lumbesa sokoni,nk na kila ukiwaangalia jiambie maneno haya kimoyomoyo:
'NINA UWEZO WA KUCHAGUA MAISHA NIYAPENDAYO,AU NISOME VITABU NISIWE KAMA HUYU MPIGA DEBE AU NIACHE KUSOMA VITABU NIISHI KAMA HUYU'

Nitafute nikupe njia muafaka ya kupenda kujisomea.
 
watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa.


Hili ndilo unaloliweza siyo?
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1373855486182.jpg
    uploadfromtaptalk1373855486182.jpg
    36.2 KB · Views: 73
habari zenu, mm cna kabsa tabia ya kuxoma vtabu especially vya darasan, yaan nkshka ktabu nahc uvivu gafla, nfanyaje?
yaani wewe inavyojionesha we ni mvivu by nature cheki kwanza unavyooandika maneno yako yaani... Punguza uvivu ndugu.. Na kwenye mitihani utajikuta unaandika hivo eti kuxoma.. Kwani hapo kwenye x ukiweka s utakufa.. Au ndo 21st century??
 
Back
Top Bottom