Utamaduni wa kujisomea, kuelewa na siasa za Tanzania

kama unaona pages 200 na ushei ni chache ni kwasababu una culture ya kusoma vitabu but for those who r not utasubiri sana na kuhusu jina nnalotumia lisikuumize kichwa wala usihoji coz its non of ur bisnes librarian na kingine usije ukajidanganya kwa kujitapa eti unaweza kuwatoa wabongo kwa vitabu vilivyoandikwa na westerners na vilivyozingatia uchumi na mazingira yao acha kutuletea hizo pretitude andika cha kwako poor boy, am out
kinachonishangaza mpaka sasa sijui kwa nini unatumia nguvu nyingi kupinga nilichoandika, kama unaona kwako hakifai kaa kimya kuna wenzako zaidi ya 50 wameshajichukulia. Acha negativity mkuu, hakuna mashindano hapa.
mahali ambapo watanzania wananishangaza ni hapa, wanaiga maisha ya wazungu, vyakula vya wazungu, mitindo ya mavazi ya wazungu, lugha ya wazungu, tamthilia za wazungu, miziki ya wazungu ila ukiwaambie tuige njia wazungu wanazotumia kufanikiwa wanakwambia mazingira yetu ni tofauti hivyo haiwezekani.
 
BINAFSI VITABU VYOTE UNAVYOZUNGUMZIA NIMEVISOMA VINA MAANA SANA ILA KWA CODES, CALCULATION YA KUTOKA KATIKA BONGO YETU
USITEGEMEE VITABU VYA THINK AND GROW RICH, POOR DAD
RICH DAD
na THE RICHEST MAN IN BABYLON. VIKUTOE KIMAISHA
NEVER...
NAJUA WENGI WENU HUMU HAMUWEZI KUNIELEWA HASA HASA WALE FANS WA HIVYO VITABU
ANYWAY NAONA HARUFU YA DIRECT MARKETING BUSINESS (FOREVER LIVING) STYLE


 
BINAFSI VITABU VYOTE UNAVYOZUNGUMZIA NIMEVISOMA VINA MAANA SANA ILA KWA CODES, CALCULATION YA KUTOKA KATIKA BONGO YETU
USITEGEMEE VITABU VYA THINK AND GROW RICH, POOR DAD
RICH DAD
na THE RICHEST MAN IN BABYLON. VIKUTOE KIMAISHA
NEVER...
NAJUA WENGI WENU HUMU HAMUWEZI KUNIELEWA HASA HASA WALE FANS WA HIVYO VITABU
ANYWAY NAONA HARUFU YA DIRECT MARKETING BUSINESS (FOREVER LIVING) STYLE



kinachonishangaza mpaka sasa sijui kwa nini unatumia nguvu nyingi kupinga nilichoandika, kama unaona kwako hakifai kaa kimya kuna wenzako zaidi ya 50 wameshajichukulia. Acha negativity mkuu, hakuna mashindano hapa.
mahali ambapo watanzania wananishangaza ni hapa, wanaiga maisha ya wazungu, vyakula vya wazungu, mitindo ya mavazi ya wazungu, lugha ya wazungu, tamthilia za wazungu, miziki ya wazungu ila ukiwaambie tuige njia wazungu wanazotumia kufanikiwa wanakwambia mazingira yetu ni tofauti hivyo haiwezekani.

Mwingine huyo hapo juu,usikate tamaa mkuu Makirita Amani
 
Last edited by a moderator:
hardcopy zinapatikana kwa wauza vitabu wa barabarani wale wanaopanga chini au kwenye meza, maeneo ya ubungo, kariakoo mtaa wa uhuru pale pembeni ya round about au posta mkabala na tanzania postal bank. pia waweza kuvipata kwenye bookshops kama scholastic bookshop iliyopo mlimani city.

Asante sana mkuu
 
kinachonishangaza mpaka sasa sijui kwa nini unatumia nguvu nyingi kupinga nilichoandika, kama unaona kwako hakifai kaa kimya kuna wenzako zaidi ya 50 wameshajichukulia. Acha negativity mkuu, hakuna mashindano hapa.
mahali ambapo watanzania wananishangaza ni hapa, wanaiga maisha ya wazungu, vyakula vya wazungu, mitindo ya mavazi ya wazungu, lugha ya wazungu, tamthilia za wazungu, miziki ya wazungu ila ukiwaambie tuige njia wazungu wanazotumia kufanikiwa wanakwambia mazingira yetu ni tofauti hivyo haiwezekani.
Haya bwana westerner unayepinga mm kutumia jina la american dream lakini kaa ukijua kati ya 300 utakaowatumia ni watu 40 tu watakao kuletea mrejesho na ukiweka thread hapa JF usipende kila mtu atoe positive ideas wapo watakao toa negative ones ushauri wa bure unatakiwa ukubalivyoteWise men don't need advice. Fools won't take it.
 
BINAFSI VITABU VYOTE UNAVYOZUNGUMZIA NIMEVISOMA VINA MAANA SANA ILA KWA CODES, CALCULATION YA KUTOKA KATIKA BONGO YETU
USITEGEMEE VITABU VYA THINK AND GROW RICH, POOR DAD
RICH DAD
na THE RICHEST MAN IN BABYLON. VIKUTOE KIMAISHA
NEVER...
NAJUA WENGI WENU HUMU HAMUWEZI KUNIELEWA HASA HASA WALE FANS WA HIVYO VITABU
ANYWAY NAONA HARUFU YA DIRECT MARKETING BUSINESS (FOREVER LIVING) STYLE


Na huo ndo ukweli mchungu ambao wengi humu hawataki kuusikia wala kuuelewa
 
kimoja hicho,(one of the best book I have ever red)
 

Attachments

  • Gladwell, Malcolm - Outliers, The Story Of Success.pdf
    3.8 MB · Views: 120
binafsi vitabu vyote unavyozungumzia nimevisoma vina maana sana ila kwa codes, calculation ya kutoka katika bongo yetu
usitegemee vitabu vya think and grow rich, poor dad
rich dad
na the richest man in babylon. Vikutoe kimaisha
never...
Najua wengi wenu humu hamuwezi kunielewa hasa hasa wale fans wa hivyo vitabu
anyway naona harufu ya direct marketing business (forever living) style



ni kweli kusoma tu hivyo vitabu hakuwezi kukutoa kimaisha, ila ukivisoma vinakupa mtizamo tofauti wa maisha.kuna mtu anafikiri kuajiriwa tu kutamaliza matatizo yote ya maisha yake, baada ya kuajiriwa mambo yanazidi kuwa magumu na anashindwa afanye nini anaishia kulalamika tu. Ila kwa kusoma vitabu vya aina hii vinaweza kumfanya mtu ajue njia mmbadala ama aweze kuchukua maisha kuhusu maisha yake na kuacha kulalamika tu.
Hakuna mtu ambae ni fans wa vitabu, kuna watu ambao wamesoma vitabu wanaona vina msaada na wanatamani wengine nao wavisome ili nao wafaidi kile alichofaidi. Kama kusoma vitabun hakufai ni nini ambacho kinafaa, kama unamwambia mtu hiyo sio njia na humwambii ipi ni njia je umemsaidia??
watanzania ifike mahali tuache negativity, tushauriane kwa mambo ya msingi na sio kukaa na kubishana tu kama vile kuna vikombe vya ubishi, kama unaona aliyotoa mtu sio njia onesha njia sahihi na sio kusema tu sio njia.

 
haya bwana westerner unayepinga mm kutumia jina la american dream lakini kaa ukijua kati ya 300 utakaowatumia ni watu 40 tu watakao kuletea mrejesho na ukiweka thread hapa jf usipende kila mtu atoe positive ideas wapo watakao toa negative ones ushauri wa bure unatakiwa ukubalivyotewise men don't need advice. Fools won't take it.
mpaka sasa nashindwa kuelewa kwa nini unang'ang'ania mashindano. Mimi sishindani na wewe mkuu hapa tunajifunza na kama tunajifunza toa njia ambayo unaona ni sahihi, mimi mtu yeyote anaepinga kitu halafu hatoi njia mbadala nahisi ana matatizo.
unaniita mimi westerner kwa sababu tu nimewashauri watu wasome vitabu vya wazungu?? Hebu niambie kwenye maisha yako ni wapi ambako hujawaiga wazungu?? Lazima tukubali hawa wenzetu walitutangulia kimaendeleo na tumeshakubali kufuata njia zao ili kufikia maendeleo. hivi unajua elimu uliyosoma kwanzia chekechea mpaka chuo kikuu nani kaitengeneza??
nikiwatumia watu 1000 na akasoma mmoja bado nitaridhika sana maana huyo kuna kitu ambacho atakipata humo na kitamsaidia. Nakubali lazima kuwe na negative na positive comments about anything, ila negative nayoikubali ni ile yenye lengo la kujenga na sio tu isiyo na maana.

 
kinachonishangaza mpaka sasa sijui kwa nini unatumia nguvu nyingi kupinga nilichoandika, kama unaona kwako hakifai kaa kimya kuna wenzako zaidi ya 50 wameshajichukulia. Acha negativity mkuu, hakuna mashindano hapa.
mahali ambapo watanzania wananishangaza ni hapa, wanaiga maisha ya wazungu, vyakula vya wazungu, mitindo ya mavazi ya wazungu, lugha ya wazungu, tamthilia za wazungu, miziki ya wazungu ila ukiwaambie tuige njia wazungu wanazotumia kufanikiwa wanakwambia mazingira yetu ni tofauti hivyo haiwezekani.
Pole sana mkuu, hawa ndio wasomi wa kibongo hawahitaj kutumikisha akili kias hicho( huko university hawakuwa wanasoma kurasa nying kiasi hicho,walizoea kucopy na kupest kazi za wenzao.) Thats why most of them are so much negative. But don't despair MKUU.
 
Pole sana mkuu, hawa ndio wasomi wa kibongo hawahitaj kutumikisha akili kias hicho( huko university hawakuwa wanasoma kurasa nying kiasi hicho,walizoea kucopy na kupest kazi za wenzao.) Thats why most of them are so much negative. But don't despair MKUU.

asante sana mkuu
 
BINAFSI VITABU VYOTE UNAVYOZUNGUMZIA NIMEVISOMA VINA MAANA SANA ILA KWA CODES, CALCULATION YA KUTOKA KATIKA BONGO YETU
USITEGEMEE VITABU VYA THINK AND GROW RICH, POOR DAD
RICH DAD
na THE RICHEST MAN IN BABYLON. VIKUTOE KIMAISHA
NEVER...
NAJUA WENGI WENU HUMU HAMUWEZI KUNIELEWA HASA HASA WALE FANS WA HIVYO VITABU
ANYWAY NAONA HARUFU YA DIRECT MARKETING BUSINESS (FOREVER LIVING) STYLE



Hongera zako ikiwa kama umejua vitabu havisaidii. Naomba utuambie nini kitatusaidia?
Hii ni imani yangu, kanuni za pesa hazijabadilika, wala hazitobadilika. Kama ilivyo kwa kanuni za Fizikia.
 
Hongera zako ikiwa kama umejua vitabu havisaidii. Naomba utuambie nini kitatusaidia?
Hii ni imani yangu, kanuni za pesa hazijabadilika, wala hazitobadilika. Kama ilivyo kwa kanuni za Fizikia.

SIJASEMA VITABU HAVISAIDII VINASAIDIA ILA SIO KWA CODES NA CALCULATIONS ZA KUTOKA KATIKA NCHI YETU MKUU SIIJUI HII SENTENSI UMEIELEWA

USHAURI WANGU NI HUU ATOKEE MWANDISHI ALIYEKULIA KATIKA MAZINGIRA YA KITANZANIA / KIAFRICA AANDIKE SELF HELP BOOKS VINAVYOAKISI NA KUMLENGA MTANZANIA NA MAZINGIRA YAKE KWA UJUMLA ZIWE NA CONTENTS KAMA HIVYO VITABU VYA poor dad rich dad MFANO WAKO UNANIKUMBUSHA MWAKA 2010 NILIKUTANA NA DOGO MMOJA ALIYEMALIZA CHUO ALIKUWA ANATAKA KUANZISHA SOCIAL NETWORK TANZANIA NIKAMUULIZA UTAPATA WAPI PESA YA KUWA NA SERVER AKANIAMBIA ATATAFUTA INVESTORS POINT YAKE ILIKUWA APITE NJIA ZILE ZILE ALIZOPITA ZUCKERBERG NIKAMUULIZA KUWA UNAWAJUA MA VENTURE CAPITALIST WALIOPO TANZANIA ? DOGO AKAWA KIMYA NIKAMUULIZA HOW ABOUT ANGELS INVESTORS? DOGO AKAWA KIMYA NIKAMUELEZA KUWA ITS NOT POSSIBLE KWANI HII NCHI SIO U.S KUWA UTAPELEKA IDEA YAKO KWA WATU KAMA ACCEL PARTNERS WAKUPE FUNDS DOGO HAKUNIELEWA AKAENDELEA NA HARAKATI ZAKE....

MPAKA LEO YUPO YUPO TU.......

SO POINT YANGU NI HIVI HATA KAMA KANUNI ZA KUANZISHA KAMPUNI NA KUKUA ZINAFANANA KILA SEHEMU ILA KANUNI ZA KUANZISHA KAMPUNI NA KUKUA ZINATOFAUTIANA KILA SEHEMU

FIKIRIA SENTENSI HII THEN UTAELEWA NAONGELEA NINI


 
Back
Top Bottom