Utakuwa au huo ni ubwege

Utakuwa au huo ni ubwege

First Born

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
5,317
Reaction score
1,484
tulifanye hili liwe game la mwendelezo kwa kuandika kitu au vitu visivyofaa na kumalizia na maneno UTAKUWA BWEG.E.. au HUO NI UBWEG.E..

NAANZA MIMI...

mwanaume ukiwazoesha wanamke kwa kuwahongahonga wakati mamaako hana hata khanga ya kutokea utakuwa bw.ege..

ukujizoesha outing za kila mwisho wa mwezi wakati wa mshahara afu siku zingine zote unalia njaa utakuwa bw.ege..

mwanamke kufanya mapenzi bila kinga afu akipata mimba anatoa huo ni ubwe.ge..

mwanaume kumwacha mkeo nyumbani na kwenda kula bia na nyama choma baa na vicheche huo ni ubwe.ge....

msela kuwatosa wanaume wenzio kisa shori huo ni ubw.ege..

mdada mtu mzima kila siku kupiga umbea kuwasema wenzio wakati hela ya vocha unaomba kwa mshikaji utakuwa bwe.ge...


NB: NENO BWEG.E UKITAKA LISOMEKE LAZIMA ULIFANYIE MANJONJO KAMA KULIONGEZEA NUKTA AU SPACE ILI LISOMEKE.. Ni miongoni mwa offensive words.. ukiliandika kama lilivyo utaambulia --------


Endeleaaaaa................
 
Ukijizoesha kukaa kitaa bila kujishughulisha ni ubw.ege unasubir upewe tu utakua bwe.ge
 
tena ukiwa unasubiri tu kuajiriwa uwe na elimu au usiwe nayo wakati kuna vyanzo kibao vya kutokea utakuwa bwe.ge..
 
UKIWA UNAANDIKA TU COMMENTS NA KUSOMA jAMII FORUM WAKATI WA KAZI WAKATI UMEAJILIWA HUO NI UBWEGEEEE
 
Kushinda hapa forums kwaajili ya kuwachekesha wengine ni ubwe.ge pia ukikazana kusoma kila comment za wadau utakuwa bwe.ge
 
kupita bila kukoment na kuishia kuisoma tuu hii koment yangu, jua kabisa ni ubweg.e
 
walioacha kazi zao wote na kusoma na kucomment hii thread n mabwege
 
Back
Top Bottom