Utakubali tena??

Utakubali tena??

haya sasa wewe tuambie nje gani ya kiberiti manake umeona mawazo ya wote sio kitu. kwangu mm is like ulitaka tukupe majibu ambayo wewe tayari unayo while the topic ni subjective. na hatuwez sote kuwaza kama wewe kwan kila mmoja ana utash wake.

kuona unawaza matatizo your writings can tell and funny enough hata pale unapopelekwa kwenye opposite side bado unaona shaka.

mm nakuuliza swali hili ''what drove you to write such a topic??''

hapa nikuitie Kiranga na Asprin waje wakueleweshe
Mpenzi, sorry dada gfsonwin, ahsante kwa kuniita. Lakini nadhani sistahili kukomenti chochote kwenye hii thread. Sina imani na mambo ya kufikirika na mambo ya hadithi za sungura na fisi...... Nachelea kuchangia afu akaibuka mtu akaniuliza kabla sijazaliwa ningepewa option ya kuchagua kuzaliwa mwanaume au mwanamke ningechagua nini? Ishu ni kwamba NI NANI ANGENIULIZA? AND WHY ASKING?? Hakuna kitu kibaya kama msongo wa mawazo, manake waweza kukufuru ukamlamu Mungu kwanini hakukufanya uwe mtoto wa BARAK OBAMA.

Nakuuliza mwalimu kwanini hukuja kwenye bethdei ya Paloma ilhali ukijua nlikuwa na mahaba yako?
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin,nitasema machache kwa kuwa MOD amekwaza sana.
'
Faham kuwa aina na lengo la swali halikua kulinganisha maisha ya duniani na huko tulikokua kabla ya kuzaliwa,hivyo lugha za "inategemea huko huko kukoje" ni za kimakosa.
'
Msingi wa swali langu ni kuwafanya watu(sio mimi)wajiulize kuhusu maisha wanaoishi hapa duniani.
'
Sikumpinga sun wu kama wewe unavyodhani,nilichokifanya ni kumuuliza swali ambalo litanifanya mimi na yoyte atakaesoma uzi huu kujua kama @su wu ana sababu za kutosha kusema vile.
'
Uliposema "mtu akiwaza KAMA MTOA MADA" hii ni kauli yenye maana mbili
'
Moja,mtoa mada ndio mawazo yake.
Mbili,mtoa mada kawakilisa wanaowaza hivyo.
'
Nilipokuambia "wrong" nilitaka kujua ulikua na maana gani kati ya hizo mbili..
'
Lakini ulipodhani nampinga sun wu na uliponiuliza "what drove you to ask such question" nikagundua ulikua na maana ya kwanza.
'
Na hili ni tatizo hapa JF,watu hawaiangalii mada inafundisha nini,wanadhani mtoa mada ndilo tatizo lake,zipo mada za aina hii lakini sio zote.
'
Pia nilipomuuliza sun wu sikutaka ajibu kama ninavyotaka mimi,sababu ya kumjibu hivyo nimekuambia hapo juu na kwa nyongeza ni kuwa ili mjadala uwe mzuri kunatakiwa kuwe na pande mbili.
'
Kwa hayo machache nadhani utakua umenielewa!

nimekuuliza kwan umeandika hivyo nategemea unijibu umewaza nn hadi kuandika ivyo na wala sijasema kwamba haifundish.

so far kwa mwl yyte yule huwa kila kitu lazima kiwe na funzo nyuma yake na kuwe na sababu kwan umetoa funzo hilo kupitia mada husika. ndio maana tuna objectives za kila somo na specific objectives. hata usiku wa manane ukiniamsha naikwambaie kwann nimefundisha kitu fulan niakwambia malengo yangu kwa ujumla na hata kwa umuhimu wake.

mfano nilipokuuliza nini kimekufanya uandike mada hii kwa maneno haya nilitegemea nikutane na lengo lako mahususi wake na malengo kusudiwa. sidhan kama unaelewa ninachomaanisha ila tu najaribu kukuonysha jinsi ambavyo unawaza tofauti na arena ya kujifunza.

usiseme watu huwaza mtoa mada ndo victim wa mada husika hapana bali elewa kwamba mtoa mada hutumika kama teaching model rahisi zaid kuliko mtu mwingine yyte, na ni vyema sana kauwepo na models ili somo lieleweke.
 
Mpenzi, sorry dada gfsonwin, ahsante kwa kuniita. Lakini nadhani sistahili kukomenti chochote kwenye hii thread. Sina imani na mambo ya kufikirika na mambo ya hadithi za sungura na fisi...... Nachelea kuchangia afu akaibuka mtu akaniuliza kabla sijazaliwa ningepewa option ya kuchagua kuzaliwa mwanaume au mwanamke ningechagua nini? Ishu ni kwamba NI NANI ANGENIULIZA? AND WHY ASKING?? Hakuna kitu kibaya kama msongo wa mawazo, manake waweza kukufuru ukamlamu Mungu kwanini hakukufanya uwe mtoto wa BARAK OBAMA.

Nakuuliza mwalimu kwanini hukuja kwenye bethdei ya Paloma ilhali ukijua nlikuwa na mahaba yako?

nafkiri kwa maelezo yako hapa juu mtoa mada atakuwa ameelewa upana wa maswali amabayo yangeibuka hapa na hata aina yake. sasa nafkiri Eiyer anapaaswa kuwaza vitu ambavyo ni vivid na siyo illusions kama hizi. mfano mzuri tu naweza kumuuliza hivi kwann alizaliwa kwa baba na mama Eiyer na wala sio kwa baba na mama gfsonwin??
 
Last edited by a moderator:
Hapana sikubali kuzaliwa!

hahaha hao swala na wadada nani angewawinda??

mi ntakubali kuzaliwa... hakuna anayejua akizaliwa atakuja kukutana na maisha gani hapa dunian, kuna waliozaliwa na masikini lakini sasa wana maisha mazuri na kuna waliozaliwa na matajiri lakini wameishia kubwia sembe ulaya na ngono zembe sasa hivi ni wanateseka sababu ndio maisha aidha waliyotachagua au malezi ya wazazi yamewaharibu
unaweza ukabaki hukohuko ukawa msaidizi wa Israel je ungependa kusaidiana nae hiyo kazi ya ukatili??
 
mmh! Hapana hapana Jiwe Linaloishi mie, kwa upande wangu nafurahi kuzaliwa na sijutii kuzaliwa, katika maisha changamoto hazikwepeki na ili uwe mtimilifu lazima ukabiliane na yanayojiri mbele zako.

Ila kama kungekua kuna kuulizwa kabla ya kuzaliwa kama unataka kuzaliwa au hutaki . Mie, ninge kataa.
Sababu, Dunia tuishio ina zambi naamini leo hata kuna Malaika wanalia jinsi dunia ilivyo, pili ubinafsi ulio pitiliza, tatu dunia haina usawa, tatu (Children Born to live, not to die ) hua ninapo tazama Somalia hua moyo wangu unauma sana naamini yote yale yanawakuta kwa Mapenzi ya binadamu na Si Mungu ndipo hapo nazidi kui nyaa dunia na watu wake, ila nisinge kataa kuzaliwa kwasababu kwasababu ya Ugumu wa maisha au mateso na changamoto za kimaisha kwani haya ndio yanakufanya mtu ukamilike.
Mawindo ya wanyama ningeyakosa kweli maana mbiguni nasikiaga kule kuna raha sana, Israel nisinge taka nae urafiki kabisa, mmh! Wadada hahaha!
mama yangu gfsonwin mie najivunia kua na mama kama wewe, na sijutii kuzaliwa.
hahaha hao swala na wadada nani angewawinda??

mi ntakubali kuzaliwa... hakuna anayejua akizaliwa atakuja kukutana na maisha gani hapa dunian, kuna waliozaliwa na masikini lakini sasa wana maisha mazuri na kuna waliozaliwa na matajiri lakini wameishia kubwia sembe ulaya na ngono zembe sasa hivi ni wanateseka sababu ndio maisha aidha waliyotachagua au malezi ya wazazi yamewaharibu
unaweza ukabaki hukohuko ukawa msaidizi wa Israel je ungependa kusaidiana nae hiyo kazi ya ukatili??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom