Utakavyomuingia Mwakinyo ndivyo atakavyokupokea 😃

Utakavyomuingia Mwakinyo ndivyo atakavyokupokea 😃

Haika Kimaro

Member
Joined
Dec 25, 2025
Posts
12
Reaction score
42
Nafurahi kuwa shabiki wa Hassan Mwakinyo akiwa ulingoni.

Huwa hakubali kushindwa kirahisi rahisi iwe ulingoni ama nje ya ulingo.

Mungu aniepushe nisije kuingia kwenye 18 za mdigo yeyote nikasutwa🤣🤣
IMG-20260102-WA0018.jpg
 
Duuh hatari sana 50m mbona ni pesa nyingi sana kwa wengi wetu? Crown ndiyo gari ya ndoto yangu nikija kuokota hela tena athelete black.
 
Back
Top Bottom