Milele amina Chaku.
kuhusu mada: kumtambua inakuwa ngumu kidogo kwa kweli esp kwa wanaume maana wao wamejaliwa maungo yao yanapata mihemko mara kwa mara. kwa wanawake utakuta anakubadilikia tabia na attitude aliokuwa nayo kwako inabadilika ukifanya mauchunguzi utakuta kweli anakucheat.
lakini pia kuna wadada wengine hakubadilikii wala nini anakula vitu pande zote mbili kumtambua pia inakuwa ngumu kweli.
yani hapo kweli hata sijui cha muhimu jifanye kama huoni na wala huwazi mambo hayo ya kudanganywa endeleza libeneke la mapenzi tu unless itokee wazi mbele ya macho yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.