Niliwai panda daldala nikawa naenda chamazi nilicheka up nikatoa machozi mtu anaongea na mumewe wanagombana kwenye simu af yeye yupo kwenye daladala anaongea wala hajari tena anamstopisha konda acha kubwata
Hivi unafikiri bei ya sukari kwa mfano. Ikiongezwa mia(100) kila kilo wewe huathiriki? Unafikiri kila kilo ikiongezwa 100 mtu akipewa tender ya kuagiza mfano tani laki 5 inakuwa shilingi ngapi?
Alimshtukia mapema sana na alitaka kumla shaba ya kichwa. Shida ilikuwa kwa yule dada, anakaza fuvu kuwa ni mchungaji tena muuza Biblia. Baadae T Bag akaingia kwenye mtego, alikula kipigo heavy mpaka uso ukajaa mipasuko.