Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
1.Ukiona mwanamke wako sio mpiga story na wewe zaidi ya wewe ndio umekuwa ndio mpiga story ili kumfurahisha yeye lakini sio yeye mpiga story akufurahishe wewe
2.Mara nyingi mwanamke wako anapenda uwe unazungumza vitu vya point na msingi na kama huna cha kuongea anakuomba tupumzike
3.Mwanamke wako anakuwa mtu wa kupaniki na kujistukia pale unapomuuliza maswali haya ulikuwa wapi , ulikuwa unaongea na nani muda wote kwenye simu
4.Mara nyingi kuzungumza na wewe usiku anajifanya kachoka ana usingizi umemshika ila badae ukipiga simu utaikuta ipo bize au utamuona online whatspp
5.Ukianza kubadilika na kuanza kurudi hatua mbili nyuma kama kuna Kitu akianza kuhisi umestukia basi yeye hapo ndio anaoongeza mapenzi kwako mpka ushangae
Haya ongezea zingine unazozifahamu
2.Mara nyingi mwanamke wako anapenda uwe unazungumza vitu vya point na msingi na kama huna cha kuongea anakuomba tupumzike
3.Mwanamke wako anakuwa mtu wa kupaniki na kujistukia pale unapomuuliza maswali haya ulikuwa wapi , ulikuwa unaongea na nani muda wote kwenye simu
4.Mara nyingi kuzungumza na wewe usiku anajifanya kachoka ana usingizi umemshika ila badae ukipiga simu utaikuta ipo bize au utamuona online whatspp
5.Ukianza kubadilika na kuanza kurudi hatua mbili nyuma kama kuna Kitu akianza kuhisi umestukia basi yeye hapo ndio anaoongeza mapenzi kwako mpka ushangae
Haya ongezea zingine unazozifahamu