Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
1.Lazima uwe na ID humu JF
2.Lazima utumie blackbery,i-phone,samsung,nokia na simu zingine
3.Utakuwa unaangalia TV
4.Umejiunga na sms za bure
6.Unapenda kujua mambo ya kikubwa.
7.Kawaida yako unachelewa kulala
9.Uko busy mpaka ukasahau namba 5.
10.Umerudi juu kutafuta namba 5(potezea tu mana hukuona hata namba 8)
11.Sasa unatabasamu halafu unacheka.....je we mtu wa kawaida?
2.Lazima utumie blackbery,i-phone,samsung,nokia na simu zingine
3.Utakuwa unaangalia TV
4.Umejiunga na sms za bure
6.Unapenda kujua mambo ya kikubwa.
7.Kawaida yako unachelewa kulala
9.Uko busy mpaka ukasahau namba 5.
10.Umerudi juu kutafuta namba 5(potezea tu mana hukuona hata namba 8)
11.Sasa unatabasamu halafu unacheka.....je we mtu wa kawaida?