Mara nyingi sana wanaume huwa ni wagumu kusidiana.....
acha ushamba bado unaishi kijamaa? rudi kijijin kwenu. ujamaa mwl aliondoka nao sasa hivi ni self-relianceHabari zenu wana jamii? Naomba kuuliza hivi pale unapokutana na rafiki yako wa muda mrefu kwa mfano umesoma nae sekondari baada ya miaka kadhaa kupita mnakutana kwenye daladala mnasalimiana vizuri na kubadilishana mawazo mawili matatu, ikatokea kwamba yeye ndie anaeanza kushuka kwenye kituo halafu anatoa noti ya sh elfu kumi na kumkabidhi konda. Konda anamuuliza nikate nauli ya wawili? Bila kusita rafiki yako huyo anasema kata mmoja. Ilinitokea juzi kati daaah kiukweli roho iliniuma na kujisikia aibu japokua sikuwa nategemea kulipiwa nauli il a ubinadamu jamani..nimeamini kuna watu wana roho ngumu .
HAKI NGUMU HUPENYA MPAKA ROHONI,NDIO MAANA WAKIKUTA MTU ANAULIWA NAO WANASHIRIKI KUUA BILA KUJUA KAMA KWELI NI MHALIFU.:A S cry:Watu sio wana roho ngumu,watu wana HALI NGUMU!!!
Wanajamvi bana mnajifanya ni watu wa money management/budget hivi vitu siku zote huwa ni nadharia/theory katika uhalisia there no such thing, sitaki kuamini kwamba wote mliosema budget mahitaji yenu yote kabisa huwa mmepanga kuwa utanunua hiki na hiki. What is mia sita bana!! labda nauli ingekuwa zaidi ya buku 3 hapo hata ukikaza unaeleweka.
Kwa dunia ya sasa swala la utu liko kwa kiasi kidogo sana hivyo usifikiri kitu ambacho wewe unafikiri ni busara kukifanya basi na kwa mtu mwingine itakua hivyo, Watu tuko kama vidole vya mikono.
Asante Kwa uShauriKiukweli huyu sidhani kama ni rafiki yako. With wengi wamesema walivyosema ila kiuhalisia hii si kawaida. Ila ushauri wangu kwako ungemlipia pale aliposema kata mmoja. Halafu jifunze kukubali kuwa watu wako tofauti ningekupa kisa fulani we mwenyewe ungecheka. Ila unapaswa kuelewa watu hutofautiana hulka na mioyo. Pia huezi jua hiyo elfu kumi uliyoiona ina mahesabu gani usione watu mjini wanapendeza mifukoni mwao Mungu ndo anajua maduka ya mangi yanasaidia watu wasife njaa. Ungetafakari hayo isingekuuma kiasi cha kuleta thread kama hii.Kuna mtu unamtembelea kwake. Anakua na safari mnakaa siti pamoja na anakata moja sasa si nami ningeleta thread hapa, jaribu kuwaelewa watu tunatofautiana especially katika utoaji. Hivi ni vitu vidogo mno ktk maisha.
Habari zenu wana jamii? Naomba kuuliza hivi pale unapokutana na rafiki yako wa muda mrefu kwa mfano umesoma nae sekondari baada ya miaka kadhaa kupita mnakutana kwenye daladala mnasalimiana vizuri na kubadilishana mawazo mawili matatu, ikatokea kwamba yeye ndie anaeanza kushuka kwenye kituo halafu anatoa noti ya sh elfu kumi na kumkabidhi konda. Konda anamuuliza nikate nauli ya wawili? Bila kusita rafiki yako huyo anasema kata mmoja. Ilinitokea juzi kati daaah kiukweli roho iliniuma na kujisikia aibu japokua sikuwa nategemea kulipiwa nauli il a ubinadamu jamani..nimeamini kuna watu wana roho ngumu .
Asante baba kelvin Kisa mchango wako..nimependa sana kuna with humu wanajifanya wanajua bajeti sana