Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Namkubali sana Magufuli , kwanza ni kwa sababu naamini ni mdau wa siasa ya ujamaa na azimio la Arusha.
Naamini anatatizika viongozi wa Serikali wanapozipata mali bila kuwa na chanzo elekezi.
Hawa vijana mfano mzuri RC wa Dar na yule wa Manyara bwana Mnyeti wana siri gani.
Je, ukuu wa mkoa unalipa sana?
Mnyeti kanunua timu na kutengeneza uwanja mfano wa azam complex kwa kiasi kinachokaribia na Bil 1
Makonda naye anasema ametumia bil 2 kuwapa viwanja Yanga na TFF.
Ninachojiuliza hawa kama watumishi wa umma japo wapo kwenye siasa wanafanya biashara gani ya kuwawezesha kugawa billions of money na wakiulizwa wanatoa sababu rahisi sana.
Natatizika hapa.
Naamini anatatizika viongozi wa Serikali wanapozipata mali bila kuwa na chanzo elekezi.
Hawa vijana mfano mzuri RC wa Dar na yule wa Manyara bwana Mnyeti wana siri gani.
Je, ukuu wa mkoa unalipa sana?
Mnyeti kanunua timu na kutengeneza uwanja mfano wa azam complex kwa kiasi kinachokaribia na Bil 1
Makonda naye anasema ametumia bil 2 kuwapa viwanja Yanga na TFF.
Ninachojiuliza hawa kama watumishi wa umma japo wapo kwenye siasa wanafanya biashara gani ya kuwawezesha kugawa billions of money na wakiulizwa wanatoa sababu rahisi sana.
Natatizika hapa.